20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 7,970
- 6,760
Uli fanya vema, maaan hujui hela zake hupataje na anaenda kufanyia nini.kuna siku network ilikuwa inazngua, sasa kuna bidada mmoja alifanya muamala ila haukukamilika kadi ikatoka, ye akaondoka ile naingia mim nikakuta machine ya pembeni inacount pesa after a seconds mihela hiyo ikatoka, nikaangalia kushoto kulia hamna mtu sema mchawi alikuwa camera tu ikabidi nimwambie mlinzi, ile natoka tu namuona bidada anarudi anasema ametumiwa SMS kuwa katoa hela
Usione watu wanapendeza, kuna watu wana majukumu hatari