zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
Eti wakuu nimekua najiuliza ukitaka kuwa mwanasiasa unasomea masomo gani au unasomea wapi?
Manake kuna wengine wanasema mara lazima usome sheria au Mara ujue uraia....
Alafu kwani uongozi ni usomi au ni karma kwasababu kuna watu walitumbuliwa kisa hawana elimu....
Alafu mbona wasomi wote wanaikimbilia siasa
Ina maana sisi no education hatuwezi kuwa wanasiasa
#Iam Zagarino
Manake kuna wengine wanasema mara lazima usome sheria au Mara ujue uraia....
Alafu kwani uongozi ni usomi au ni karma kwasababu kuna watu walitumbuliwa kisa hawana elimu....
Alafu mbona wasomi wote wanaikimbilia siasa
Ina maana sisi no education hatuwezi kuwa wanasiasa
#Iam Zagarino