Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,985
- 144,312
Hili ndio swali ninalojiuliza na sitashangaa wafanyabiashara wa mafuta wakapunguza au kuacha kabisa kuagiza mafuta in case wanapata hasara.
Tunaweza kufurahia haya maamuzi leo hii halafu kesho tukaanza kulia kuna uhaba wa mafuta.
Inawezekana tunafanya maamuzi bila kuwaza kwa mapana nini inaweza kuwa athari za maamuzi tunayoyafanya.
Kama ni EWURA wanakosea, ukweli utajulikana, na kama ni siasa imehusika, pia ukweli utajulikana.
Tunaomba matokeo ya uchunguzi wa hiyo Tume/kamati iliyoundwa yawekwe hadharani.
Tujipe muda.
Tunaweza kufurahia haya maamuzi leo hii halafu kesho tukaanza kulia kuna uhaba wa mafuta.
Inawezekana tunafanya maamuzi bila kuwaza kwa mapana nini inaweza kuwa athari za maamuzi tunayoyafanya.
Kama ni EWURA wanakosea, ukweli utajulikana, na kama ni siasa imehusika, pia ukweli utajulikana.
Tunaomba matokeo ya uchunguzi wa hiyo Tume/kamati iliyoundwa yawekwe hadharani.
Tujipe muda.