Hivi ukigundua umeibiwa funguo ya gari unafanyeje?

Mm nina gari Push to start OEM, sio hizi za kuweka mtaani. Nina Key moja nataka nipate na spare. Itanihitaji kiasi gani cha fedha na wataalam wanapatkana wapi kwa Dar
 
Mm nina gari Push to start OEM, sio hizi za kuweka mtaani. Nina Key moja nataka nipate na spare. Itanihitaji kiasi gani cha fedha na wataalam wanapatkana wapi kwa Dar

Cost inaweza kuwa kuanzia Laki 2 kwa gari ya push to start sababu funguo zake mara nyingi hazihitaji Key cut. Japo inategemea na mtu utakayempata inaweza pia kuwa juu ya hapo.


Me ningeweza kukufanyia kwa price chini ya hapo. Bahati mbaya tool ta kufanyia hiyo kazi Nimeitia sokoni. Nataka kuiuza ikiwa kwenye makaratasi bado maana Sisi wabongo tunacomplain vitu vidogo sana.
Mm nina gari Push to start OEM, sio hizi za kuweka mtaani. Nina Key moja nataka nipate na spare. Itanihitaji kiasi gani cha fedha na wataalam wanapatkana wapi kwa Dar
 
Back
Top Bottom