Hivi ukifa unazaliwa tena?

Kizoda

Senior Member
Mar 5, 2022
130
296
Jambo ndugu zangu nataka kuhuliza jambo

Hivi huu msemo wa kuwa ukifa unazaliwa tena uaga ni kweli au uongo ?

Mwaka 2007 tulifiwa na mdogo wetu wa kiume

Mwaka 2008 mama akazaa mtoto mwengine wa kiume

Sasa huyo mdogo wangu aliyefariki mwaka 2007 na huyu ambaye alizaliwa 2008 wanafanana kila kitu Kuanzia sura , tabia na pia huyo mdogo wangu alikuwa ana alama kichwani na alama hiyo anayo pia

Na cha ajabu siku hile hile aliyo zaliwa huyo marehemu ndo siku ambayo uyo mdogo wangu alizaliwa tena kwa style hile hile ya mama kuzalia ndani ya nyumba ndo aliyo zaliwa na huyo naye

Sasa kibaya zaidi tunafanyaga tukimuonyesha picha za huyo marehemu ana liaga saana au tukimkumbushia au kumtania kwa muita jina hilo analiaga saana
 
Jambo ndugu zangu nataka kuhuliza jambo

Hivi huu msemo wa kuwa ukifa unazaliwa tena uaga ni kweli au uongo ?

Mwaka 2007 tulifiwa na mdogo wetu wa kiume
Mwaka 2008 mama akazaa mtoto mwengine wa kiume
Sasa huyo mdogo wangu aliyefariki mwaka 2007 na huyu ambaye alizaliwa 2008 wanafanana kila kitu Kuanzia sura , tabia na pia huyo mdogo wangu alikuwa ana alama kichwani na alama hiyo anayo pia
Na cha ajabu siku hile hile aliyo zaliwa huyo marehemu ndo siku ambayo uyo mdogo wangu alizaliwa tena kwa style hile hile ya mama kuzalia ndani ya nyumba ndo aliyo zaliwa na huyo naye

Sasa kibaya zaidi tunafanyaga tukimuonyesha picha za huyo marehemu ana liaga saana au tukimkumbushia au kumtania kwa muita jina hilo analiaga saana
Kuna sili kubwa katika kifo, na yamkini dini zikawa zinadanganya kwa matakwao yao ya zamani dhidi ya mwanadamu, ndo mana wamejikuta wamedanganya mpaka kizazi chao huko Ulaya na Uarabuni


Swala kufa na kufufuka, kisha kwenda kwenye hukumu na moto wa kiama lina ukakasi mkubwa kuliamini.

Binafsi hua naamini mambo mawili

1. Ukifa, kasha(mwili?) Linaoza na kwisha kabisa, ila nafsi(uhai) inahamia kwenye kasha jingine na maisha yanaendelea isipokua labda huyo mwanadamu hatakua na kumbukumbu ya mambo yaliyo pita awali katika maisha yake, ila wakati mwingine Ile nafsi hukumbuka japo kwa sekunde chache na kutoweka, ndiyo maana unaweza fika mahali katika matembezi yako ukajihisi kama ni mahala umewahi kufika kitambo sana ukiwa mtoto, ila hukumbuki na ghafla kumbukumbu hiyo hutoweka

2. Pia naamini ukifa yamkini ndo awamu yako duniani imekwisha wanaendelea wengine.


N. B- Maisha baada ya kifo ni kama hayapo, yanawekwa ili watu kustaarabiana kupunguza matukio ya ajabu na kuweka nidhamu Kwa sababu ya hofu ya MUNGU
 
Kuna sili kubwa katika kifo, na yamkini dini zikawa zinadanganya kwa matakwao yao ya zamani dhidi ya mwanadamu, ndo mana wamejikuta wamedanganya mpaka kizazi chao huko Ulaya na Uarabuni


Swala kufa na kufufuka, kisha kwenda kwenye hukumu na moto wa kiama lina ukakasi mkubwa kuliamini.

Binafsi hua naamini mambo mawili

1. Ukifa, kasha(mwili?) Linaoza na kwisha kabisa, ila nafsi(uhai) inahamia kwenye kasha jingine na maisha yanaendelea isipokua labda huyo mwanadamu hatakua na kumbukumbu ya mambo yaliyo pita awali katika maisha yake, ila wakati mwingine Ile nafsi hukumbuka japo kwa sekunde chache na kutoweka, ndiyo maana unaweza fika mahali katika matembezi yako ukajihisi kama ni mahala umewahi kufika kitambo sana ukiwa mtoto, ila hukumbuki na ghafla kumbukumbu hiyo hutoweka

2. Pia naamini ukifa yamkini ndo awamu yako duniani imekwisha wanaendelea wengine.


N. B- Maisha baada ya kifo ni kama hayapo, yanawekwa ili watu kustaarabiana kupunguza matukio ya ajabu na kuweka nidhamu Kwa sababu ya hofu ya MUNGU

Hili jambo KILA Jamii ulitafsiri kulingana na mapokeo yake.
Hio no 1 ni mapokeo kulingana na dini za wahindi.
Mapokeo ya dini ya Kikristo na Uislamu ufanana juu ya hili,wote uamini ukifa mwili unaoza udongoni,roho nafsi yako uenda kuzimu au paradiso wewe ndo unaamua kulingana na matendo yako.
 
Kuna sili kubwa katika kifo, na yamkini dini zikawa zinadanganya kwa matakwao yao ya zamani dhidi ya mwanadamu, ndo mana wamejikuta wamedanganya mpaka kizazi chao huko Ulaya na Uarabuni


Swala kufa na kufufuka, kisha kwenda kwenye hukumu na moto wa kiama lina ukakasi mkubwa kuliamini.

Binafsi hua naamini mambo mawili

1. Ukifa, kasha(mwili?) Linaoza na kwisha kabisa, ila nafsi(uhai) inahamia kwenye kasha jingine na maisha yanaendelea isipokua labda huyo mwanadamu hatakua na kumbukumbu ya mambo yaliyo pita awali katika maisha yake, ila wakati mwingine Ile nafsi hukumbuka japo kwa sekunde chache na kutoweka, ndiyo maana unaweza fika mahali katika matembezi yako ukajihisi kama ni mahala umewahi kufika kitambo sana ukiwa mtoto, ila hukumbuki na ghafla kumbukumbu hiyo hutoweka

2. Pia naamini ukifa yamkini ndo awamu yako duniani imekwisha wanaendelea wengine.


N. B- Maisha baada ya kifo ni kama hayapo, yanawekwa ili watu kustaarabiana kupunguza matukio ya ajabu na kuweka nidhamu Kwa sababu ya hofu ya MUNGU
Kwahiyo watu kama wewe ndio wanaoleta uharibifu katika huu ulimwengu kwa sababu hawana hofu ya mungu?

Au wewe pamoja na kwamba huna hofu ya mungu lakini haufanyi uharibu wowote?
Kama ni hivyo huoni kama nadharia yako juu ya makusudio ya uwepo wa dini ni haina mantiki?

Manake kumbe mwanaadamu anaweza kutokuwa mwaribufu pasi na dini.
 
Hili jambo KILA Jamii ulitafsiri kulingana na mapokeo yake.
Hio no 1 ni mapokeo kulingana na dini za wahindi.
Mapokeo ya dini ya Kikristo na Uislamu ufanana juu ya hili,wote uamini ukifa mwili unaoza udongoni,roho nafsi yako uenda kuzimu au paradiso wewe ndo unaamua kulingana na matendo yako.
Na zote hizi ni Imani wewe unaamini vipi? nini kinafuata baada ya kufa?
 
Kuna sili kubwa katika kifo, na yamkini dini zikawa zinadanganya kwa matakwao yao ya zamani dhidi ya mwanadamu, ndo mana wamejikuta wamedanganya mpaka kizazi chao huko Ulaya na Uarabuni


Swala kufa na kufufuka, kisha kwenda kwenye hukumu na moto wa kiama lina ukakasi mkubwa kuliamini.

Binafsi hua naamini mambo mawili

1. Ukifa, kasha(mwili?) Linaoza na kwisha kabisa, ila nafsi(uhai) inahamia kwenye kasha jingine na maisha yanaendelea isipokua labda huyo mwanadamu hatakua na kumbukumbu ya mambo yaliyo pita awali katika maisha yake, ila wakati mwingine Ile nafsi hukumbuka japo kwa sekunde chache na kutoweka, ndiyo maana unaweza fika mahali katika matembezi yako ukajihisi kama ni mahala umewahi kufika kitambo sana ukiwa mtoto, ila hukumbuki na ghafla kumbukumbu hiyo hutoweka

2. Pia naamini ukifa yamkini ndo awamu yako duniani imekwisha wanaendelea wengine.


N. B- Maisha baada ya kifo ni kama hayapo, yanawekwa ili watu kustaarabiana kupunguza matukio ya ajabu na kuweka nidhamu Kwa sababu ya hofu ya MUNGU
ilo jambo la namba 1 apo juu uwa linanitokeaga sana. wajuvi wanaiita DejaVuu, iyo inanitokeaga sana, unakuta nimeenda mkoa ambao sikuwahi kufika apo kabla alaf nafika sehem faham zangu zinaduwaa kuwa apa mbona napafahamu kabisa sasa najiuliza nimekuja lini kisha memory inakata
 
we fanya kila uwezalo kwa sasa, habari za kufanya nusu nusu huku unasubiri ufufuke tena utasubiri sana
 
Jambo ndugu zangu nataka kuhuliza jambo

Hivi huu msemo wa kuwa ukifa unazaliwa tena uaga ni kweli au uongo ?

Mwaka 2007 tulifiwa na mdogo wetu wa kiume
Mwaka 2008 mama akazaa mtoto mwengine wa kiume
Sasa huyo mdogo wangu aliyefariki mwaka 2007 na huyu ambaye alizaliwa 2008 wanafanana kila kitu Kuanzia sura , tabia na pia huyo mdogo wangu alikuwa ana alama kichwani na alama hiyo anayo pia
Na cha ajabu siku hile hile aliyo zaliwa huyo marehemu ndo siku ambayo uyo mdogo wangu alizaliwa tena kwa style hile hile ya mama kuzalia ndani ya nyumba ndo aliyo zaliwa na huyo naye

Sasa kibaya zaidi tunafanyaga tukimuonyesha picha za huyo marehemu ana liaga saana au tukimkumbushia au kumtania kwa muita jina hilo analiaga saana

labda tuwaulize waliokufa nipo mwochari hapa
 
Back
Top Bottom