Mi sijui coz sijawahi kuachana na mwanamke huwa tunapoteana tuHivi ukiachana na mwanamke yapi kati ya haya ufanye
1.muendelee kuwasiliana kama rafiki
2.umblock namba zake musiwasiliane yan kila mtu ajue maisha yake ??
Dah....kwa kifupi....hakuna mwanaume ambaye huacha mwanamke kabisa...ukikuwa utalijua Hilo 🤭Hivi ukiachana na mwanamke yapi kati ya haya ufanye
1.muendelee kuwasiliana kama rafiki
2.umblock namba zake musiwasiliane yan kila mtu ajue maisha yake ??
kuachana sio uadui bwana wewe. uwezi jua siku ya siku unaweza kumbushia enzi za zamani. wenyewe wanakwambia mbususu haisuswi kamweHivi ukiachana na mwanamke yapi kati ya haya ufanye
1.muendelee kuwasiliana kama rafiki
2.umblock namba zake musiwasiliane yan kila mtu ajue maisha yake ??
mkiachwa achikeni il wengine waliokuwa wanawatamani na kuwapenda wawapate, sio mnagandana kama ruba,,mtu umemuacha unachat naye wann? mnaongea nn? kama sio kupoteza muda, chmsng ni kufanya utu wa kuacha namba yake napo kwa utu tu, lkn hapo nikupotezeana mazma il kuruhus maisha mengine yasonge mbele, jifunzen kuacha, mbna kuna mambo mengi yakufanya zaid ya kupalangana na max wenu....jamn tubadiriken hee
Hii inamaanisha Nini kaka🤣Usimblock ila usiwasiliane nae, we endelea na life yako
Depends mumeachanaje.
Mwingine ni wa kumlamba makofi kabla ya yote.