The Professor
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 2,218
- 4,533
Umesema vyema miss,, ndio maana kuna sehemu mimi pia niliandika kua kuna muda siwalaumu wanawake sababu system ya maisha ina force mambo yawe hivi kama yalivyo sasa. Nadhani hapa tumeshamaliza mjadala ila naomba nikuulize swali extra tu.Kikubwa ni kutafuta pesa na si kuanza kutafuta visingizio kuwa wanawake wanapenda pesa,sijui wanaona pesa ndio mapenzi.
Ni kweli mapenzi na pesa vinaenda sambamba na hayupo mtu hii dunia hapendi pesa.
Kuvumilia tabu siyo sifa.
Katika mahusiano kutafuta pesa inaonekana kua jukumu au wajibu wa mwanaume peke yake, je wajibu wa mwanamke katika mahusiano ni upi?