Tuyuku
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 3,292
- 1,919
Nimeona ni vema leo kuuliza maana hili jambo lanikereketa sana. Hii barabara imemalizika kujengwa mwaka 2008, lakini leo ukiitazama imechakaa vibaya mno. Eneo la Mivinjeni usipokuwa mwangalifu unapata ajali kirahisi sana kwa kuwa barabara imeota manundu kupindukia.
Pia ukitazama mitaro yake ingali shaghalabhaghala. Barabara tangu iwekewe minara ya taa miaka mitatu nyuma hadi leo hizo taa hazijafungwa.
Hii inaashiria nini? Kama si kuwa mradi uligubikwa na rushwa?
Mwenye ufahamu wa jambo hili atusaidie tafadhali.
Pia ukitazama mitaro yake ingali shaghalabhaghala. Barabara tangu iwekewe minara ya taa miaka mitatu nyuma hadi leo hizo taa hazijafungwa.
Hii inaashiria nini? Kama si kuwa mradi uligubikwa na rushwa?
Mwenye ufahamu wa jambo hili atusaidie tafadhali.