Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,885
- Thread starter
- #21
Kenya imepata maji mengi chini ya ardhi katika eneo kame kabisa ya Turkana
nimeona hiyo kwenye gazeti leo nafikiri watapunguza munkari wa kutumia maji ya nile. jamaa wa daily news wamesema maji yaliyochini ya ardhi katika africa ni mara 100 ya yale yaliyopo juu ya ardhi. ila wamesema wanatakiwa wayafanyie kwanza vipimo unaweza kuta ni maji chumvi.