Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,714
Hahahah simu ya laki 8 mpaka million, wale wapuuzi ndio walikuja kumtoa Nokia mchezoni wakishirikiana na iPhoneEnzi hizo blackberry bold, curve unaonekana Kama njuka tu
Hahahah simu ya laki 8 mpaka million, wale wapuuzi ndio walikuja kumtoa Nokia mchezoni wakishirikiana na iPhoneEnzi hizo blackberry bold, curve unaonekana Kama njuka tu
Qwerty Keyboard. Alianza nayo Nokia na Windows PDA'sKwanza huo mfumo tu wa mabatani mengi kama keyboard ya computer nilikiwa nachukia kinyama.
Nilikua nikisikia mtu akisema hivyo namuogopa hatari, nahisi jamaa kashatoboa tayari 😁😁😁😁Nicheki BBM
Usenge mtupu, simu ina hadi vifurushi special
Haaa haaa kama ilivyo siku hizi via iphone 12 pro.2 minutes ago via blackberry...
Hapo uki comment social media
Hahaha kumbe hii kitu wengi tumeiexperience2 minutes ago via blackberry...
Hapo uki comment social media
Haaa haaa kama ilivyo siku hizi via iphone 12 pro.
😂😂😂😂 ohoooHaaa haaa kama ilivyo siku hizi via iphone 12 pro.
Za kishenzi Bora hata black phone
Hapo unajiona bonge la mwambaHahaha kumbe hii kitu wengi tumeiexperience
ZTE bado wapo, wana gaming phone nzuri tu.Kila zama na wakati wake mkuu! Wako wapi kina ZTE na HTC? Washkaji walikua na mashine hatari sana kwa kipindi hicho lakini nao zama zao zishapita, lakini kuna kampuni nyingi tu za simu za kisasa wanatengeneza simu zenye features za hovyo au kulingana na hiyo miamba ya wakati huo, Nokia, LG & Sony Xperia kidogo wanaenda na nyakati kimtindo..
Still, performance bado mkuuZTE bado wapo, wana gaming phone nzuri tu.
Perfomance yao ni top of the line, gaming phone zina perfomance kubwa kushinda hizi flagship za kina iPhone, Samsung etc maana zinapozwa na mechanism kibao kuanzia mafeni, copper, aluminum na material mengine.Still, performance bado mkuu