Omulangi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 1,036
- 268
Serkali iliondoa karo kwa wananchi na michango kwa wananchi ili kuwezesha elimu ya sekondari iwafikie wengi hairuhusiwi kuchangisha wazazi ila tu kwa kibali maalum toka wizarani. Ruzuku serkali iliyoahidi ya uendeshaji hadi sasa haijatolewa ( nina uhakika kwa shule za mikoani nisijue huko mijini) Sasa hizi shule zinaendeshwa kwa miujiza gani?