blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 10,439
- 12,596
Mafukara (95%) ya Watanzania wana mengi ya kusema kwa hawa wagombea kupitia mabango.
Mabango ni Direct messages ambapo wasio na uwezo wa kumuona Rais Wa Wanyonge ana kwa ana wanamrushia live. Sasa nashangaa. Ni wagombea hawapendi au ni wasaidizi wa wagombea wanajipendekeza.
The only bango that moves ni "MAGUFULI MIAKA 5 TENA" Hivi kweli wa Tanzania tumekuwa malofa na wapumbavu kiasi hiki!?
Jana Shinyanga Magufuli kapewa kero kibao za wanashinyanga aziseme yeye.. I am sure michomo mingi kaikwepa.
Embu CCM msituharibie Nchi.
We need live Campaigns
We need voters to express their views
Voters have to share their feelings.
Acheni kumchosha mwenyekiti wenu mkifikiri mnamsaidia. Mtamkusanyia vikaratasi vingapi!?
Acheni UNAFIKI.
Mabango ni Direct messages ambapo wasio na uwezo wa kumuona Rais Wa Wanyonge ana kwa ana wanamrushia live. Sasa nashangaa. Ni wagombea hawapendi au ni wasaidizi wa wagombea wanajipendekeza.
The only bango that moves ni "MAGUFULI MIAKA 5 TENA" Hivi kweli wa Tanzania tumekuwa malofa na wapumbavu kiasi hiki!?
Jana Shinyanga Magufuli kapewa kero kibao za wanashinyanga aziseme yeye.. I am sure michomo mingi kaikwepa.
Embu CCM msituharibie Nchi.
We need live Campaigns
We need voters to express their views
Voters have to share their feelings.
Acheni kumchosha mwenyekiti wenu mkifikiri mnamsaidia. Mtamkusanyia vikaratasi vingapi!?
Acheni UNAFIKI.