Balozi Chriss
Senior Member
- Jan 21, 2011
- 153
- 16
Kwa waliofuatilia Taafifa ya habari ktk television yaTBC1 ni dhahiri kabisa tumeona kuwa kuna Kijana anaitwa Petro a.k.a.Mzimu ambaye ni mkazi wa Kigoma,ambaye amekamatwa na mtambo wa kutengeneza silaha aina ya gobore.Kweli mimi nimemtukuza Mungu kwa kumpa kipaji kama kile cha kipekee kijana yule wa kitanzania.
Lakini kk jambo la kunishtua ni jinsi ambavyo hawa mapunguani ambao wamepewa dhamana mbalimbali maofisini jinsi ambavyo wanafurahi kumtia mbaroni kijana huyu na dhahiri wakionekana ni lazima wamtie gerezani akateseke huko..
Hivi ipo wapi au zipo wapi zile taasisi za kushughulikia vipaji?Vijana kama hawa ni wengi sana mitaani na kutokana na uzembe wa serikali zetu toka tupate uhuru,hawajawaandalia mazingira muendelezo watu wa aina hii.
VIWANDA vyetu vyote vimejaa wageni na bidhaa zetu nyingi ni za nje.
Unadhani kama Kijana Petro angewezeshwa ,ni aina ngap ya silaha za kijeshi angetengeneza?JAMANI nashindwa kuendelea kuandika hili dukuduku....
Lakini kk jambo la kunishtua ni jinsi ambavyo hawa mapunguani ambao wamepewa dhamana mbalimbali maofisini jinsi ambavyo wanafurahi kumtia mbaroni kijana huyu na dhahiri wakionekana ni lazima wamtie gerezani akateseke huko..
Hivi ipo wapi au zipo wapi zile taasisi za kushughulikia vipaji?Vijana kama hawa ni wengi sana mitaani na kutokana na uzembe wa serikali zetu toka tupate uhuru,hawajawaandalia mazingira muendelezo watu wa aina hii.
VIWANDA vyetu vyote vimejaa wageni na bidhaa zetu nyingi ni za nje.
Unadhani kama Kijana Petro angewezeshwa ,ni aina ngap ya silaha za kijeshi angetengeneza?JAMANI nashindwa kuendelea kuandika hili dukuduku....