Shinto
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 1,781
- 96
Wakuu,
Ninavyofahamu mimi mwanamke anazaliwa bikira, akikua akaolewa na au kufanya mapenzi basi ubikira huwa umekwisha pale.
Lakini mbona Mary mama yake Jesus bado tunamuita bikira wakati aliolewa na kuzaa watoto na mumewake Joseph (achilia mbali Yesu ).
Naomba mawazo yenu yasiyo yakishabiki wa kidini, hili swala linanitatiza kidogo
Ninavyofahamu mimi mwanamke anazaliwa bikira, akikua akaolewa na au kufanya mapenzi basi ubikira huwa umekwisha pale.
Lakini mbona Mary mama yake Jesus bado tunamuita bikira wakati aliolewa na kuzaa watoto na mumewake Joseph (achilia mbali Yesu ).
Naomba mawazo yenu yasiyo yakishabiki wa kidini, hili swala linanitatiza kidogo