Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Ukiona mtu anafanya hivi ujue anakudharau sanaMimi wananishangaza wale ambao pesa wanapata lakini madeni hawalipi..
Mtu unamdai laki mbili.. hakulipi na simu hapokei lakini inamuonaje kanunua gari la milioni 15..