Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,874
- 33,366
Lisu ndio kawazidi akili chadema wote!Wewe mataga wewe mataga Acha vituko aisee
Hivi wewe una elimu Gani ya kumzidi Lissu Acha kutia huruma hapa kiufupi hata
Mzee #Mohamed Said kawazidi Kwa kujua historia ya Tanganyika kuliko Chief wenu hangaya Kama unabisha tuweke mdahalo wa uchambuzi kati ya huyo Mzee na mataga wote Nchi nzima atawapiga mbali Sana na hapo yeye kasimuliwa tu na Babu zake
Haya akileta na aliyosoma si mtakimbia nyinyi
Kubarini aliye pewa kapewa tu!
Sasa ujinga wenu msitake kutuweka wote kwenye kapu moja!