Hivi Tundu Lissu anajifanya anajua au anajua kweli?

Kwaiyo mtu kujua historia ya nchi yake ndo anashangaza uyo et?

Vijana wa sasa sisi ni wavivu wa kusoma na kufatilia mambo ndo mana akitokea mtu kama lissu tunamuona genius akati alichonacho kinapatikana kwenye maandishi ambayo yeye mwenyewe huyasoma ili apate kuelewa mambo kiundani.

Amna chochote kinachoshangaza hapo
Mbona wewe shuleni umesoma na bado ukafeli?
 
Uandaliwe mdahalo Lisu vs Hangaya. Utaona vituko duniani. Hangaya ni Rais hewa, mambo mengi hayajui, mfano;

1. Alidanganywa na kina Siro kuwa Adamoo na wenzake wameshahukumiwa kumbe wamefichwa Mbweni mwaka mzima.

2. Anazindua chanjo ya J&J ila alikuwa hajui kuwa hiyo ni dozi moja tu hadi alipofundishwa mbele za hadhara. Alijua ni dozi mbili. Kaja kuzindua kitu asichokijua kabisaaaaa.

Yajayo yanahuzunisha.

Pressure inapanda pressure inashuka....J&J...duuuu
 
Kwaiyo mtu kujua historia ya nchi yake ndo anashangaza uyo et?

Vijana wa sasa sisi ni wavivu wa kusoma na kufatilia mambo ndo mana akitokea mtu kama lissu tunamuona genius akati alichonacho kinapatikana kwenye maandishi ambayo yeye mwenyewe huyasoma ili apate kuelewa mambo kiundani.

Amna chochote kinachoshangaza hapo
Unaandika kwaiyo na amna halafu unajipa mamlaka ya kubeza uelewa wa mwingine. Unajua irony?
 
Unashangaa kitu gani wakati mtu mwenyewe muongo na hodari wa uzushi. Yeye speciality yake ni kupinga na inamlipa sana. Kuna mabeberu wanahitaji huduma ya watu kama lissu. Wanalipa vizuri.
Mtazomo finyu Sana nyie ndio elimu yenu inaishia kwenye matumbo, haisaidii jamii.

Wewee Lissu Ni akili kubwa, unajua kwamba alikuwa best student mwaka wao pale chuo kikuu Cha DSM?

Unajua kwamba sio siasa hizi .......???, angelikuwa Ni PROFESA washeria Sasa??

Unajulia kuwa alilisaidi Sana Bunge la katiba Hadi akatambukiwa na Mzee Sitta kwa mchango bora kabisa.

Unajua kuwa Mama Malinda alishawahi kusema Lissu ni Mbunge mahiri Sana kwa michango take?

Unajua kuwa huyu Lissu Ni Wakili nguli hapa nchini?

Hivi unajua kuwa alishawahi kuwaongoza WANASHERIA wote wa Tanganyika Kama.RAIS wao?

Unajua hayo?, Au niendelee?

Hembu tambue watu wenye AKILI kubwa acheni roho mbaya kwa kuendekeza Chama chenu!!!
 
Jana ndo nimejua kumbe baba yake Hanspope yule RPC wa Kagera alikamatwa na Majeshi ya Uganda akiwa ndani ya ardhi ya Uganda mwaka 1972 akauawa, alikuwa akishiriki operesheni ovu ya waasi wa Uganda, wafuasi wa Obote wakitokea Tanzania waliojaribu kumpindua na kumuondoa Iddi Amin.
Jana ndo nimejifunza wazi kuwa, ni kweli Amini alituvamia mwaka 1978, lakini na sisi tulishamchokoza sana kuanzia mwaka 1972
Mgogoro wa Uganda na Tanzania ulianza toka meaka 72 ila Vita kamili ilianza mwaka 78
 
Nilikuwa mashambani huko ikanipita? hebu wekeni basi link na wengine tusikilize.
 
Yaani watoto wa sasa bhana, yote aliyoongea yeye Na yule binti chizi mjukuu wa Karume yameandikwa, uvivu wako wa kusoma ndo unakufanya ushangae anachoongea yule Mkimbizi alieko Belgium
Mbona unaonekana kama una maumivu? Onyesha nawe uwezo wako sio kuita wengine "binti chizi ".
 
Jana nilipotea njia nikajikuta nimengia chumba kimoja cha Club house.

Nikasikia sauti ya Lisu, nikasema acha nitulie kidogo nisikie kinachosemwa.
Mjadala ulihusu legacy ya JK. Nyerere, kusema kweli niliyosakia kule sijawahi kuyasikia wala kuyasoma mahali popote. Huyu TL anajua kila kitu, hakuna swali linalomshinda kujibu. Anaeleza historia ya nchi mpaka unabaki mdomo wazi.

Hapana huyu mtu amenishangaza sana.
Watanzania tumenyimwa Elimu ya maarifa na CCM kwa makusudi, ili tusiwe wasomi na waelewa wa mambo kama Lissu ..
Ndio maana wasomi kama Tundu Lissu na professor Asad wanapitia mateso na kudharirishwa na watawala ili wawe kama KABUDI au Lipumba na Zitto. Wamekataa.

Lissu ni mmsomi alielimika , Kikwete aliwahi sema.
 
Kwaiyo mtu kujua historia ya nchi yake ndo anashangaza uyo et?

Vijana wa sasa sisi ni wavivu wa kusoma na kufatilia mambo ndo mana akitokea mtu kama lissu tunamuona genius akati alichonacho kinapatikana kwenye maandishi ambayo yeye mwenyewe huyasoma ili apate kuelewa mambo kiundani.

Amna chochote kinachoshangaza hapo
Kusoma na kujifunza maarifa mbali mbali inakua crystal intelligence na inaongeza IQ ya mtu sababu ukiwa na uelewa wa mambo mengi kwa kusoma ina maana unatengeneza uwezo mkubwa wa kufikiri kutokana na maarifa uliyojaza.

Na ndio maana tunaambiwa majasusi wana akili sana sababu tu na wenyewe wanafundishwa vitu vingi sana kuanzia saikolojia, predictive analysis, and so on sasa akikisia kitu na kikatokea mtasema ni genius au mchawi!! Which is true sababu wamejifunza kutumia maarifa mbalimbali kabla ya kufikia maamuzi kwa masuala mtambuka.

So Lissu is a genius based on Crystal Intelligence.
 
Jana nilipotea njia nikajikuta nimengia chumba kimoja cha Club house.

Nikasikia sauti ya Lisu, nikasema acha nitulie kidogo nisikie kinachosemwa.
Mjadala ulihusu legacy ya JK. Nyerere, kusema kweli niliyosakia kule sijawahi kuyasikia wala kuyasoma mahali popote. Huyu TL anajua kila kitu, hakuna swali linalomshinda kujibu. Anaeleza historia ya nchi mpaka unabaki mdomo wazi.

Hapana huyu mtu amenishangaza sana.
He is very smart! "Tatizo" la Lisu anasoma sana na he is capable of deep thinking and making sense out of nonsenses! Ana kipaji kikubwa cha kuchanganua mambo in a real world!
Pale Univesity of Warwick aliposoma Masters, Prof wake alisema: "wamepita wanafunzi wengi mikononi mwangu sijawahi kumwona kijana kama huyu"!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom