Hivi tunaposema kutoka kimaisha tunamaanisha nini hasa?

Jembemtaji

JF-Expert Member
Aug 21, 2014
1,193
926
Nimekuwa na Mimi natumia sana msemo huu 'jamaa ametoka au ametusua kimaisha', ila kiukwel sijajua hasa mtu aliyetoka kimaisha ana sifa gani.

Unaweza kuambiwa fulani katoka, baada ya miaka 3 au 4 amerudisha vyombo nyumbani anaanza kuishi na wazazi.

Unaweza kuambia msanii fulani katoka kimuziki baada ya miaka 2 au 3 unamuona tena kwenye bar za uswazi akiimba hata redioni hasikiki.

Kila mmoja kwa ufahamu wake atuambie mtu gani na mwenye sifa zipi tunapaswa kusema KATOKA.
 
Haya maisha kuna kupanda na kushuka. ukisikia mtu ametoka ujue amepiga hatua kadhaa kimaendeleo. na inapotokea akayumba kidogo bas anarud nyuma tena. so ni kawaida ya maisha.
 
Haya maisha kuna kupanda na kushuka. ukisikia mtu ametoka ujue amepiga hatua kadhaa kimaendeleo. na inapotokea akayumba kidogo bas anarud nyuma tena. so ni kawaida ya maisha.

Kimbe unaweza ukatusua na ukarud tena mchangani mkuu?.
 
Inategemea na nani, ila kwa wanafunzi wanaomaliza elimu ya juu. Kutoka kwao ni kupata kazi, kuchukua mkopo wa gari, kupanga chumba hapo kati baada ya hapo bia kwa kwenda mbele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom