Hivi tunakosa basic decency kabisa jamani?

Pundit

JF-Expert Member
Feb 4, 2007
3,733
123
Wikiendi hii nilienda kuwacheki masela, mabaharia na machizi basi hapo ndani ya Upper West Side ya Soweto, six degrees north of nowhere -ruptured from the fabric of spacetime continuum if you get my drift-.Si unajua tena kijua kinatoka watu hawachelewi ma barbq na matoto ya kikunjani kutoka UCT na Wit yameshuka, ilmuradi kuondoa machungu ya boxes and what not.Picha zinapatikana nitumie bank account number yako kwenye PM, lol!

Basi story story na wewe, overregulated watered down beers that taste like orange juice, political and social punditry, whats new in town, watoto wakali wako wapi and all that good stuff.

Mara si playa mmoja akaingia mtandaoni kutuonyesha picha za watoto wazuri za kwenye social networking sites and who is who for some of us hermits with networking challenges.

Basi mara playa akafungua email ikatokea picha kubwa unaambiwa, wenyewe wanaita TIGO aka bumper aka junk in the trunk liko kitandani mdada yuko kwenye kitanda anajivinjari huku akiangalia vituz kwenye laptop.

Basi mimi kwa utashi wa kirijali, almost by reflext action nikamuomba mshashi aniforwardie ile email.

Najuta najuta.Maaana wamempiga picha huyu mdada wakamuuua kisawa sawa.Naona vibaya kwa upande mmoja kuandika hivi kwa sababu inaweza ku fuel interest na akaendelea kuwa exposed, lakini kwa upande mwingine imenigusa nikashindwa kujizuia.Zamani kidogo nilishawahi ku forwardiwa picha nyingine ya jamaa aliyefumaniwa Tabata akakimbizwa barabarani utupu wa mnyama.

Ninachojiuliza ni hivi inakuwaje mpaka mtu ukaamua kumpiga picha binti wa watu, regardless ya yuko loose kiasi gani au mchafu kiasi gani, even if that is the case, how low does a man have to be to be involved in that kind of shyt? Yaani in some aspects hii exposure ni kama rape fulani hivi mbaya sana kwa sababu huyu dada wamemuandika mpaka anapofanya kazi na jina lake na familia yake yote.

I hope this rather emotional and uncharacteristic post of mine will appeal to those amongst us who entertained such barbaric tendencies to adopt a higher standard of morality and denounce all and any such overly chauvinistic, masochist and purely ignorant tactics.Kama unakorofishana na demu unamdrop tu, haina haja ya kumuumbua kama hivi kwenye mitandao, mwishowe unaweza kusikia kiumbe wa watu kajinywea midonge bure aikatishe safari yake hapa duniani.The same applies kama ni mademu mmechukuliana mabwana, inasikitisha sana kuona watu wanafanya entertainment katika uchafu na aibu ya mtu mwingine.

Halafu mpuuzi mwenyewe aliyeandika anafanya kazi benki ya Standard Chartered YA 1 Aldermanbury Square, kwa upuuzi wake jina lake lipo na hata hakuondoa lile li liability disclaimer reeefu.Nina uhakika email policy ya Standard Chartered hairuhusu kutumia baruapepe ya kazini kutuma chains za emails za derogatory obscene photos with malicious intent.Huyu mjinga siyo tu anaweza kufukuzwa kazi, bali pia anaweza kuface charges na hata kuwa involve Standard Chartered katika litigation isiyo na msingi.

Tujue kwamba unapopiga picha uwe na hakika kwamba hutaionea hiyo picha aibu hata kama itawekwa kwenye homepage ya google for all the world to see.

Tujue kwamba huwezi kumuamini mtu kirahisi hata kama ni boyfriend/girfriend, unaweza kuwa nae leo kesho ikawa blackmail na vendetta issue.

It is just not cool to expose people like this, everyone has a vulnerable point, admittedly some are more vulnerable than others but to prey on some chick's gullibility and then promote one's own masochistic or she-male chauvinistic tendencies (and then women say men are the opressing sex...) camouflaged in righteous and judgemental anti-promiscuity tone (whether the promiscuity is real or manufactured in a personal vendetta is not known and immaterial) may be argued to be lower than the alleged promiscuity itself.

I just felt like airing some people out.Now do not ask me for that email, for reasons stated above the distribution of such materials is just beneath me.
 
kama ipo weka kiongozi then tujue jinsi ya ku-comment si unajua utamu wa asali kila mtu ana-feel kulingana na usafi wa mdomo wake. Sasa kama mtu kajiachia tu sometimes acha wawe exposed si wanajifanya bab kubwa...
 
kama ipo weka kiongozi then tujue jinsi ya ku-comment si unajua utamu wa asali kila mtu ana-feel kulingana na usafi wa mdomo wake. Sasa kama mtu kajiachia tu sometimes acha wawe exposed si wanajifanya bab kubwa...

Kipanga,

Kuiweka hapa itakuwa against kila kitu nilichokisema katika post yangu hapo juu.Nilitumaini kuwa tungeweza ku discuss topic- kuwapiga picha wasichana, malaya au hata wa kupakaziwa- halafu kuwaumbua wao na familia zao kwenye chains za emails.

Mimi naona kufanya hivyo ni uozo mkubwa mara nyingine kuliko hata huo umalaya wenyewe.
 
We need to see the evidence. Weka Email hapa Mkuu. Otherwise weka line on top inayosema kuwa hii story ni ya kubuni na inaweza ikawa haina ukweli wowote.
 
We need to see the evidence. Weka Email hapa Mkuu. Otherwise weka line on top inayosema kuwa hii story ni ya kubuni na inaweza ikawa haina ukweli wowote.

Siwezi kuweka picha kwa fundamental principles nilizoziweka hapo juu, kama unaweza kuzi question hizo fundamental principles naomba tuende toe by toe.

Naona pia hujaelewa ninachozungumzia hapa, sizungumzii incident, if I was talking about an incident then ungeweza kuniambia kuwa huwezi ku prove kwamba incident hii imetokea.Ninazungumzia trend, na tabia hii ambayo I am sure kuna member wengi tu humu ndani watakuwa wameshapata baadhi ya hizi emails, moreover wewe huwezi ku prove kwamba mimi sijapata hii email na kwa sababu zangu za fundamental beliefs in decency sitaweza kushawishika kuitoa hiyo email yenye majina ya watu - wengine hata hawahusiki zaidi ya kuwa ndugu yake mdada huyu- na kuwa expose hapa.

Sasa mkuu unabisha kuwa hakuna watu wanaoforward emails za wasichana katika compromising positions? picha amabazo inawezekana wamezipata in confidence na wana abuse that confidence?

Do you stand for this sort of betrayal? Au unajaribu some sort of dry academic coldness hapa kutaka evidence wakati evidence yenyewe hujui ya kitu gani?

If you want to engage in academic acrobatics of the vogonic bubblespeak hue na mimi naweza kusema "I need evidence that you need evidence, otherwise disclaim your post appropriately"
 
Kiongozi mi naamini una nia nzuri tu ya kutaka kujaribu kujenga ustaarabu katika jamii ili watu wasifanye huu uchafu unaonea kwa kasi but wakati mwingine kukemea mambo machafu you need to have evidence and one can come up with very strong ushauri na mambo mengine ya kujenga. issue sio kuwa na sisi tunataka tuone hata kama ni dada yangu i don't give a damn!!! kama ni mshenzi ni mshenzi tu na hii itakuwa njia nzuri ya kwenda kum-discpline ati mzee si unajua hawa watoto walivyopagawa. Nakubali we mzee wa maadili ila tunapotaka kukemea uchafu tupunguze moving around the bush...
 
Kiongozi mi naamini una nia nzuri tu ya kutaka kujaribu kujenga ustaarabu katika jamii ili watu wasifanye huu uchafu unaonea kwa kasi but wakati mwingine kukemea mambo machafu you need to have evidence and one can come up with very strong ushauri na mambo mengine ya kujenga. issue sio kuwa na sisi tunataka tuone hata kama ni dada yangu i don't give a damn!!! kama ni mshenzi ni mshenzi tu na hii itakuwa njia nzuri ya kwenda kum-discpline ati mzee si unajua hawa watoto walivyopagawa. Nakubali we mzee wa maadili ila tunapotaka kukemea uchafu tupunguze moving around the bush...

Uchafu ninaotaka kuukemea mimi siyo wa huyu demu loose ball, ni wa hawa wajinga wanaoforward hizi email all over the world, using disclaimed office email systems nonetheless.

As a matter of fact I care considerably less kama demu mkubwa mwenye akili zake anajiachia.Kinachoniumiza sana ni kuona trust ya mtu imekuwa violated na mipicha imetumwa all over the internet, this is lower than huyo demu loose kama kweli ni loose.

Anaweza kuwa loose kweli, of course pia it is always possible kuna mambo ya kupakaziana, wivu, vendetta, sizitaki mbichi hizi and all that.Ndiyo maana nasema siyo fresh kutoa email hapa.Wahat if mtoto wa watu wanamuonea wivu tu?

There is no beating around the bush, issue imeshawekwa hapo juu.
 
Ni tabia ya kishenzi na inabidi kukemewa kwa nguvu zote.ni mambo ya kutokuwa na decency,inaondoa ubinadamu wa mtu na kumfanya myama.Tofauti kati ya mtu huyu na myama ni ndogo sana.je yeye akifanyiwa hivyo itakuwaje?
 
Nakupata sana Pundit. Mimi nimeona hiyo email and I was disgusted that I read few comments and that was it, sikuendelea. Hii tabia ya baadhi yetu kusambaza hizi email na kuendelea kumdhalilisha mtu huyu. Hata wewe unayetuma unaonekana vipi tu kwa wenzio kama hujaelewa bado.

Mimi nilimuuliza aliyenitumia hiyo email, kwanini ana-forward email kama ile? Jibu lake tu mimi lilinichosha. At the end, nilimwomba tu next time asini-associate na such emails.
 
Nakupata sana Pundit. Mimi nimeona hiyo email and I was disgusted that I read few comments and that was it, sikuendelea. Hii tabia ya baadhi yetu kusambaza hizi email na kuendelea kumdhalilisha mtu huyu. Hata wewe unayetuma unaonekana vipi tu kwa wenzio kama hujaelewa bado.

Mimi nilimuuliza aliyenitumia hiyo email, kwanini ana-forward email kama ile? Jibu lake tu mimi lilinichosha. At the end, nilimwomba tu next time asini-associate na such emails.

Ahsante sana dada Kisura kwa ku vindicate kuwepo kwa email hiyo, maana kuna watu wanataka niende against principles zangu za kukemea this disgusting trend kwa kuipost tena hiyo email hapa.

Nashukuru kwamba na wewe umeweza ku verify kuwapo kwa hiyo email bila ya mimi kuiweka hapa.
 
Ahsante sana dada Kisura kwa ku vindicate kuwepo kwa email hiyo, maana kuna watu wanataka niende against principles zangu za kukemea this disgusting trend kwa kuipost tena hiyo email hapa.

Nashukuru kwamba na wewe umeweza ku verify kuwapo kwa hiyo email bila ya mimi kuiweka hapa.

Kuna watu wanaosoma hapa ambao wameshapata message uliyoleta, labda wataelimika kidogo. Hakuna haja ya kuiweka email hapa, will only mean continuing the humiliation.
 
Jamani, what humiliating a act, mtuheshimu mama zenu jamani, kukubali kuwaliwaza kimapenzi isiwe nongwa....iko siku tutagoma tuone kama dunia itakalika. Nahisi huyo alieanza kuisambaza email kapigwa kibuti..akubali tu yaishe bila kumwadhiri mwenzie kiasi hicho. Na kama ni msichana kamfanyia msichana mwenzie hivyo baada ya ugomvi, sio ustaarab kabisa na chuki ambayo inaelekea kwenye kuua.
Kwa hiyo akisikia huyo dada kajiua au kafanya kitendo kingine cha ajabu atashangaa au atashangilia. Tuwe na utu kidogo jamani, ustaarabu upo lakini utu ndio unaogomba katika jambo kama hili. Kabla ya kumfanyia mwenzio kitendo kichafu chochote kile, jiweke kwanza natika nafasi yake na uassume ni wewe unafanyiwa hivyo; ujiulize kama na wewe ungechekelea au ungelia.

Asante sana Pundit kwa uelewa wako na utu ulionao kwa kukemea kitendo kama hiki. Ama kweli dunia ina watu na viatu.
 
Mkuu Pundit!
Kipi lakini kipya? Alikuweko Mzee Punch na juhudi zake "za kurekebisha mienendo ya wanafunzi (of course wengi wao walikuwa ni wasichana)", tuna magazeti ya udaka ambayo nayo katika azma hiyo hiyo ya kurekebisha mienendo ya wanajamii( of course tena wengi wakiwa ni wasichana!),kuwapigia mbinja na kuwatukana kwa matusi ya nguoni dada zetu ambao uvaaji wao hautufurahishi! We live in a misogynist society and this is just another reflection of it. To cap it all, baadhi ya dada zetu wame'buy' hiyo bs nao wamejiunga katika kuwaweka sawa wenzao!
Lord have mercy!
 
Mkuu Pundit!
Kipi lakini kipya? Alikuweko Mzee Punch na juhudi zake "za kurekebisha mienendo ya wanafunzi (of course wengi wao walikuwa ni wasichana)", tuna magazeti ya udaka ambayo nayo katika azma hiyo hiyo ya kurekebisha mienendo ya wanajamii( of course tena wengi wakiwa ni wasichana!),kuwapigia mbinja na kuwatukana kwa matusi ya nguoni dada zetu ambao uvaaji wao hautufurahishi! We live in a misogynist society and this is just another reflection of it. To cap it all, baadhi ya dada zetu wame'buy' hiyo bs nao wamejiunga katika kuwaweka sawa wenzao!
Lord have mercy!

hiyo mienendo ya wasichana inayozungumzia ni ile ile inayokuwa drien na wavulana. Msichana akimkaa mvulana ataambiwa anaringa, anajidai, anajiona, hafai, ana matatizo and so on. Huyo huyo msichana akikubali kukubali anaitwa malaya, kichache, mwenendo mbaya etc. Sasa lipi jema?

Msichana akipata kuwa na wavulana wawili tu (here i mean one at a time) ni malaya, ana tabia mbaya tena watu wanatahadharishwa wsimsogelee kabisa na mvulana akiwa mpenzi wa tatu kwa msichana an.k anachekwa na kudharauliwa, anayesema hivi na kuwa na maneno mengi na mabaya anakuwa ni yule mvulana kwanza kabisa! Na wakati huo huo utakuta huyo mvulana yeye huyo kwake alikuwa ni mwanamke wake wa 50 in the list! Sasa jamani tuwe wakweli nani malaya hapa!

Kumpiga mpenzi wako picha chafu na ukazisambaza ni kumfunza adabu huko? haiingii akilini hata kidogo. Ni tabia mbaya na chafu ya kudhalilisha jinsia ya kike (ambao ni mama zenu,dada zenu, wake, zenu na 'wapenzi wenu'.
 
Msichana akipata kuwa na wavulana wawili tu (here i mean one at a time) ni malaya, ana tabia mbaya tena watu wanatahadharishwa wsimsogelee kabisa na mvulana akiwa mpenzi wa tatu kwa msichana an.k anachekwa na kudharauliwa, anayesema hivi na kuwa na maneno mengi na mabaya anakuwa ni yule mvulana kwanza kabisa! Na wakati huo huo utakuta huyo mvulana yeye huyo kwake alikuwa ni mwanamke wake wa 50 in the list! Sasa jamani tuwe wakweli nani malaya hapa!

Hata kama akiwa nao kwa wakati mmoja, tatizo liko wapi? Mbona wavulana wakiwa na wasichana zaidi ya mmoja wakati mmoja tunamshangilia na kumwita 'sharp'? Hakuna kitu anachoweza kutenda binadamu kitakachoweza kumfanya astahili kuanikwa namna hii, period.
 
aThanks Pundit, I am touched by your maturity. Unajua huwa nashindwa kuelewa watu huwa wana matatizo gani hadi kufikia kufanya unyama wa aina hii, hivi cost yake kwa muhusika mnaijua? hata kama ni malaya kama mnavyodai bado ana utu thats why anafanya kile kitendo privately na siyo barabarani kwa wote kuona. Jiheshimuni nyie mnaofanya vitendo hivi maana bottomline ni kwamba hata nyie ni malaya thats why mlikubali kutake part kwenye hivyo vitendo. Wanaofanya haya wana mapungufu.
 
hiyo mienendo ya wasichana inayozungumzia ni ile ile inayokuwa drien na wavulana. Msichana akimkaa mvulana ataambiwa anaringa, anajidai, anajiona, hafai, ana matatizo and so on. Huyo huyo msichana akikubali kukubali anaitwa malaya, kichache, mwenendo mbaya etc. Sasa lipi jema?

Msichana akipata kuwa na wavulana wawili tu (here i mean one at a time) ni malaya, ana tabia mbaya tena watu wanatahadharishwa wsimsogelee kabisa na mvulana akiwa mpenzi wa tatu kwa msichana an.k anachekwa na kudharauliwa, anayesema hivi na kuwa na maneno mengi na mabaya anakuwa ni yule mvulana kwanza kabisa! Na wakati huo huo utakuta huyo mvulana yeye huyo kwake alikuwa ni mwanamke wake wa 50 in the list! Sasa jamani tuwe wakweli nani malaya hapa!

Kumpiga mpenzi wako picha chafu na ukazisambaza ni kumfunza adabu huko? haiingii akilini hata kidogo. Ni tabia mbaya na chafu ya kudhalilisha jinsia ya kike (ambao ni mama zenu,dada zenu, wake, zenu na 'wapenzi wenu'.


Hawana heshima hata kidogo
 
Hata kama akiwa nao kwa wakati mmoja, tatizo liko wapi? Mbona wavulana wakiwa na wasichana zaidi ya mmoja wakati mmoja tunamshangilia na kumwita 'sharp'? Hakuna kitu anachoweza kutenda binadamu kitakachoweza kumfanya astahili kuanikwa namna hii, period.

Hapo ni katika kuendelezea hiyo mienendo ambayo inarekebishwa na kina punch na hayo magazeti ya udaku. Tukiangalia kwa upande wa pili wanaume (most of them) ndio wana mienendo michafu na mibaya sana na wanahitaji huduma ya ziada ya kuwarekebisha iwe punch, magazeti ya udaku au hata kudhalilishwa kama wanavyofanya kuwadhalilisha hao wasichana.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom