Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,689
- 13,073
Tunazungumzia mfumo wa mahakama kuingiliwa wewe unasema ishu za jiwe kuleta heshima!! Akyanani bao potevuUnajua watu walizoea miteremko kila mahali, Rais Magufuli kaleta heshima za mifumo ukosoaji ndio unaanza? Naomba muelewe mfumo umeshabadilika, kamwe hatuwezi kurudia Madudu ya zamani