Hivi tumejifunza nini kwa kifo cha mchezaji Ismail Khalfani wa Mbao Fc?

aliisaac1000

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
407
272
Tumekua ni watu wakusimulia tukio linapotokea na baada ya muda tunasahau na maisha yanaendelea bila kujifunza wapi tumekosea na nini kifanyike. Mfano ni tukio la mchezaji ismail wa mbao fc. ukiliangalia kwa makini inawezekana ni mshtuko wa moyo baada ya kuanguka hivyo kusababisha moyo kusimama ghafla,

Iwapo katika hadhara kama ile wangekuepo watu wa red cross ilikua ni suala la kumfanyia cpr kwa kustua moyo, hii ni aina ya first aid ya kwanza kwa tukio kama lile ambalo hata wachezaji wanatakiwa wapewe mafunzo ya ya huduma ya kwanza,

Ni kitu cha kushangaza kuona wachezaji hawajui chochote wanaonekana wakimshikashika miguu tuu bila ya kujua nini cha kufanya na cha ajabu zaidi 'KATIKA MICHEZO KAMA HII HAKUNA WATU WA FIRST AID' na ambulance, huu ni uzembe mkubwa kwa waandaaji.

Tubadilike.
 
a50ddecd786a90bf3e8fa2ff728b283c.jpg
 
Tumekua ni watu wakusimulia tukio linapotokea na baada ya muda tunasahau na maisha yanaendelea bila kujifunza wapi tumekosea na nini kifanyike. Mfano ni tukio la mchezaji ismail wa mbao fc. ukiliangalia kwa makini inawezekana ni mshtuko wa moyo baada ya kuanguka hivyo kusababisha moyo kusimama ghafla,

Iwapo katika hadhara kama ile wangekuepo watu wa red cross ilikua ni suala la kumfanyia cpr kwa kustua moyo, hii ni aina ya first aid ya kwanza kwa tukio kama lile ambalo hata wachezaji wanatakiwa wapewe mafunzo ya ya huduma ya kwanza,

Ni kitu cha kushangaza kuona wachezaji hawajui chochote wanaonekana wakimshikashika miguu tuu bila ya kujua nini cha kufanya na cha ajabu zaidi 'KATIKA MICHEZO KAMA HII HAKUNA WATU WA FIRST AID' na ambulance, huu ni uzembe mkubwa kwa waandaaji.

Tubadilike.
Nafikiri ripoti ya daktari ikitoka pia itasaidia zaidi kutupa mwangaza wa nini hasa kilichomuua huyu mchezaji na tunapaswa kuchukua tahadhari gani?
 
Kilichokosekana ni mtu wa kufanya CPR, watu walikimbilia kumshika miguu hiyo siyo first aid cjui wamejifunzia wapi. Inabidi masomo ya first aid yafundishwe kuanzia primary school ili by the time mtu amekuwa mtu mzima anakuwa anajua nini cha kufanya. Hii itasaidia pia katika familia zetu huwezi jua
 
Huko kote kuangaika tu ajali haina kinga.

Alifariki Foe kwenye watu wa first aid wenye ujuzi zaidi na zaidi.

Chakushangaza labda ingekuwa gari la fire kwenye nchi za wengine huko.

Lakini Tanzania hakuna Chakushangaza hata chuo cha Mlimani aliwahi kuzama mtu bwawani wakaja fire.
 
hizi ndio akili za wabongo wengi
Akili mfilisi kabisa... kuna dogo mmoja wa Uingereza nimesahau jina lake black alikuwa na 23 yrs, alipata shida kama hii ... nadhanu alikuwa anachezea totenham au Bolton. ... alipona bana lakini ikabidi aache mpira kwa ushauri wa Daktari....
 
Ni kweli huenda kulikuwa na Uzembe wa huduma ya kwanza lakini kazi ya Bwana huwa haina makosa,R.I.P mtoto wa Nyumbani!
 
ikifika siku yako imefika mkuu mac vivien foe uwanjani walikuwapo kila aina ya red cross lakini alikata moto mwenyezi mungu akikuita hakuna wa kukuzuia
 
Back
Top Bottom