hazole1
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 4,319
- 3,911
Saizi marekani kumekuwa na kelele nyingi sana ambazo haileweki mwisho wake nini.
hii yote ni kwa sababu eti urusi iliingilia uchaguzi wa marekani na wanasema urusi ndio waliofanikisha ushindi wa trump kwa kiasi kikubwa.
ikibainika kama kweli urusi ilifanikisha ushindi wa trump
Je ni nani ambaye atakuwa wa kwanza Kulaumiwa?
na wakati huo watu wanasema marekani ndio nchi ya kwanza duniani inayoongoza kwa usalama na kwa mwaka bajeti yake ya maswala ya usalama ni billion 650$ na wakati urusi huo urusi bajeti ya maswala ya usala ni kama billion 60$ tu kama nitakuwa sikosei.
Sent using Jamii Forums mobile app
hii yote ni kwa sababu eti urusi iliingilia uchaguzi wa marekani na wanasema urusi ndio waliofanikisha ushindi wa trump kwa kiasi kikubwa.
ikibainika kama kweli urusi ilifanikisha ushindi wa trump
Je ni nani ambaye atakuwa wa kwanza Kulaumiwa?
na wakati huo watu wanasema marekani ndio nchi ya kwanza duniani inayoongoza kwa usalama na kwa mwaka bajeti yake ya maswala ya usalama ni billion 650$ na wakati urusi huo urusi bajeti ya maswala ya usala ni kama billion 60$ tu kama nitakuwa sikosei.
Sent using Jamii Forums mobile app