imali
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 473
- 432
Ushoga na usagaji uliohalalishwa inaipeleka dunia pabaya. Wakristo wa Australia ndani ya bunge wanashangilia ushoga na usagali kuhalalishwa yaani ni vifijo na nderembo hii imekuwa ni shida kabisa waislamu wakipigana kuukemea ushoga na kuuogoba mila na desturi za kimagharibi wanaitwa magaidi. Ni wakati tu waafrika wakiristo wataupokea na kuukubali ushoga kama makanisa yao ya ulaya yalivyoukubali na sasa unaungizwa katika miji mitakatifu na hiyo Jerusalem haiko salama ikiwa Tel Aviv ndio inaitwa pepo au paradise ya mashoga na masagaji na Jerusalem nayo ndio unaenda kwao tene.