Hivi Trafiki anaruhusiwa kumpiga mtu anapomkamata?

Dullo

JF-Expert Member
Oct 24, 2009
251
64
Leo hali isiyokuwa ya kawaida nimeshuhudia trafiki akimpiga ngumi dereve aliyemkamata kwa kosa la kutanua, hii mnaionaje wana Jamii, hebu tusaidieni mchango wenu wa mawazo ili tujue haki yetu sie wananchi.
 
Kisheria hakuna polisi aina yeyote anayeruhusiwa kumpiga raia. Labda pale raia anpotumia nguvu kupinga kukamatwa ndo polisi naye aweza fanya hivyo. Sasa kwa polisi barabarani ndo kabisa haruhusiwi hata kuchukua leseni,kuingia kwenye gari mwende polisi au Hata kuchukua kadi ya gari au funguo. Huo ni utaratibu mbovu police waliojiwekea na kwasababu raia wengi hatujui haki yetu inakuwa tabu
 
Kuna trafic officer mmoja aliwahi kunikama akataka kuichana leseni yangu.
Nikamwambia "....weeeee! thubutu kwanza kama wewe ni mwanaume kweli...."
akafyata lkama jibwa koko.
 
yani nchi hii mh?
yani wanapiga sana asa madereva wa daladala ndio kabisa yan
 
Mungu apishe mbali kwani nitakufa naye. Hakuns polisi anaruhusiwa kumpiga raia. Inabidi kufike mahali tuseme ENOUGH IS ENOUGH.
 
Back
Top Bottom