Old-Timer
Member
- Aug 9, 2011
- 76
- 15
Gari ya ndugu yangu imekamatwa leo huko Morogoro kwa kosa la kutofanyiwa ownership transfer. Jamaa alinunua hiyo gari miaka miwili iloyopita na hakubadili jina kwenye kadi. Leo amekamatwa na agent wa TRA, eti hajafanya transfer ya gari na alipaswa kufanya hivyo ndani ya siku 30 baada ya mauziano, Afisa huyo alisema mmiliki wa gari alikua na exemption hivyo inatakiwa kulipwa TZS 2,000,000/= .
Nachokifahamu ni iwapao jamaa angeenda TRA kufanya transfer ndio angetakiwa alipe exemption, vp akamatwe barabarani! Ndugu yangu ni mtumishi wa umma, je anaweza kunufaika na exemption ya gari hiyo?
Nachokifahamu ni iwapao jamaa angeenda TRA kufanya transfer ndio angetakiwa alipe exemption, vp akamatwe barabarani! Ndugu yangu ni mtumishi wa umma, je anaweza kunufaika na exemption ya gari hiyo?