Hivi TBS hawaoni hizi charger fake za simu zinazolipuka kila siku?

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,889
Toka nimeanza kutumia charger za simu sijui ni ngapi zimepiga shoti. Kamoja nilinunua tu na kukaweka kwa mara ya kwanza kakapiga shoti. Katika vitu fake vingi ni hizi charger na USB cable.

TBS hebu fuatilieni hili suala. Watu watakuwa wanaunguza majengo kumbe shida ipo hapa kwenye charger zisizoeleweka.
 
TBS ni kikundi cha wauza ugoro flani hivi, hawajawahi kuwa na weledi popote, hata hilila kukagulia magari hapo nchini ndio limefeli kabisaaa bora walipokua wanatumia mawakala huko Japan na kwingineko mara kumi. Shame on TBS
 
Hata hizo charger wanazoita OG ni utopolo tu, nimeshawahi kununua charger ya samsung walisema ni super fast charger 70,000/= na ililipuka ndani ya masaa matatu nikiwa na charge simu hiyo ni baada ya kusumbuliwa na adaptive charger ya Samsung (45,000)
 
Back
Top Bottom