N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,532
Ni kweli mmeshindwa kuweka mshumaa ambao uko animated na sio static hivi yaani umekatwa tu kisha ukapachikwa hapo kwenye screen, aisee hebu kuweni na taste,mnatutia aibu yaani hapo TBC watu wa Programming wanaruhusuje vitu duni kwenda hewani...mnakwaza kinoma.
Ona hilo mshumaa umekatwa tu na kuwekwa hapo hovyohovyo.
Ona hilo mshumaa umekatwa tu na kuwekwa hapo hovyohovyo.