Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,811
- 6,780
Watu na tv yao.
Picha ya Bushmen haitachuja kamwe, ile ni gold mkuu, ...Kwa kweli mna bored muda huu hata mngeweka picha ya Bushman ingependeza mnaweka cartoons kweli Kodi zetu ndio mnazitumia hivyo?
Inatusaidia wenye chumba kimoja na siting'irumu, watoto wanaangalia katuni huku baba na mama tunawatengenezea wadogo zao.Kwa kweli mna bored muda huu hata mngeweka picha ya Bushman ingependeza mnaweka cartoons kweli Kodi zetu ndio mnazitumia hivyo?