jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,987
- 22,515
Wanajamvi,
Jana wakati wa yale mahojiano baina ya Tundu Lissu, Masilingi pamoja na muendeshaji ama host wa kipindi cha Straight Talk Africa, Shaka Salli. Nilipata kujifunza mambo kadhaa, ambayo nayo yalinifanya kujiuliza maswali kadhaa wa kadha.
Pia niseme kuwa, itakuwa ni jambo la msingi kabisa endapo tutafanikiwa kuanzisha cheche ya mabadiliko chanya, ambayo itatufungua kama Taifa.
Kwa kifupi, niligunduwa hoja mbili za msingi, ambazo kimsingi ni kuhusu maendeleo yetu vs ccm vs mabeberu!
Yani hapo ina maana kwamba ccm mara zote wanasema kuwa kikwazo cha maendeleo yetu, ni hao mabeberu. Yani toka uhuru wamekuwa wanadai wanatupatia maendeleo, lakini kikwazo cha kupata maendeleo makubwa zaidi na kuufuta umasikini,ni mabeberu. Mabeberu ambao wameingia nao mikataba ambayo imewafukarisha wananchi na Taifa na kuwafaidisha cronies wachache wa ccm. Hapo alumiwe Lissu au chadema kivipi?Wengi kupitia ten percent nk. Ni mawaziri wa ccm.
Lakini pia Lissu alizungumzia ile sheria ya kikoloni/mabeberu ya mwaka 1953, ambayo ilitumika kumuweka mwalimu ndani wakati wa harakati za kuwaondoa hao mabeberu!Sheria hiyo hiyo imetumika kumweka Mbowe ndani. Je hapo beberu ni nani? Au ni rangi tuseme imebadilika? Certainly kuna mabeberu weusi. Ni levels tu, lakini ubeberu ni ubeberu.
Propaganda hii hii ya mabeberu, ndiyo iliyopelekea Lissu kutaka kuuwawa, Lissu ambaye naye alishaswekwa ndani mara kadhaa kabla ya jaribio la kumuuwa, kwa sheria hizo hizo kandamizi za mabeberu walizoziacha! Je ccm party “is eating a cake and have it too”? Unapotumia sheria za kibeberu kukandamiza wananchi, halafu unasema beberu ndo mbaya, utaeleweka vipi? Au ni sisi wananchi hatujielewi?
Hilo limenifanya nikajiuliuliza sana maswali mengi. Pia nikafahamu ni kwanini Lissu aliwahi kuyasema yale aliyoyasema kule bungeni kuhusu Mwalimu! Kweli kuna mazuri na mabaya yake. Baya kubwa kabisa, ni kuirithisha ccm yake na “Taifa lake”, sera kandamizi za kibeberu dhidi ya wananchi, huku ikitumia propaganda dhidi ya mabeberu hao ambao ni marafiki zao kwa upande mwingine, dhidi yetu sisi wananchi! Na wananchi tunabaki kuchanganyikiwa, Kwani hata huko kwa mabeberu, hakuna sheria kandamizi kama huku kwetu.
Labda wakati huu tutamtambua adui yetu vyema, na Taifa letu litasonga mbele!
Tamaa za madaraka za viongozi hao wa ccm, ndizo zimetufikisha hapa! Kama ccm ingekuwa na mapenzi ya dhati kwa Taifa, isingeedelea kutudanganya kuwa maadui zetu ni “imperialists” peke yao! I think it is a combination of factors! I think the ccm leadership has failed us. Mmeshindwa kuja na jipya toka uhuru?
Jana wakati wa yale mahojiano baina ya Tundu Lissu, Masilingi pamoja na muendeshaji ama host wa kipindi cha Straight Talk Africa, Shaka Salli. Nilipata kujifunza mambo kadhaa, ambayo nayo yalinifanya kujiuliza maswali kadhaa wa kadha.
Pia niseme kuwa, itakuwa ni jambo la msingi kabisa endapo tutafanikiwa kuanzisha cheche ya mabadiliko chanya, ambayo itatufungua kama Taifa.
Kwa kifupi, niligunduwa hoja mbili za msingi, ambazo kimsingi ni kuhusu maendeleo yetu vs ccm vs mabeberu!
Yani hapo ina maana kwamba ccm mara zote wanasema kuwa kikwazo cha maendeleo yetu, ni hao mabeberu. Yani toka uhuru wamekuwa wanadai wanatupatia maendeleo, lakini kikwazo cha kupata maendeleo makubwa zaidi na kuufuta umasikini,ni mabeberu. Mabeberu ambao wameingia nao mikataba ambayo imewafukarisha wananchi na Taifa na kuwafaidisha cronies wachache wa ccm. Hapo alumiwe Lissu au chadema kivipi?Wengi kupitia ten percent nk. Ni mawaziri wa ccm.
Lakini pia Lissu alizungumzia ile sheria ya kikoloni/mabeberu ya mwaka 1953, ambayo ilitumika kumuweka mwalimu ndani wakati wa harakati za kuwaondoa hao mabeberu!Sheria hiyo hiyo imetumika kumweka Mbowe ndani. Je hapo beberu ni nani? Au ni rangi tuseme imebadilika? Certainly kuna mabeberu weusi. Ni levels tu, lakini ubeberu ni ubeberu.
Propaganda hii hii ya mabeberu, ndiyo iliyopelekea Lissu kutaka kuuwawa, Lissu ambaye naye alishaswekwa ndani mara kadhaa kabla ya jaribio la kumuuwa, kwa sheria hizo hizo kandamizi za mabeberu walizoziacha! Je ccm party “is eating a cake and have it too”? Unapotumia sheria za kibeberu kukandamiza wananchi, halafu unasema beberu ndo mbaya, utaeleweka vipi? Au ni sisi wananchi hatujielewi?
Hilo limenifanya nikajiuliuliza sana maswali mengi. Pia nikafahamu ni kwanini Lissu aliwahi kuyasema yale aliyoyasema kule bungeni kuhusu Mwalimu! Kweli kuna mazuri na mabaya yake. Baya kubwa kabisa, ni kuirithisha ccm yake na “Taifa lake”, sera kandamizi za kibeberu dhidi ya wananchi, huku ikitumia propaganda dhidi ya mabeberu hao ambao ni marafiki zao kwa upande mwingine, dhidi yetu sisi wananchi! Na wananchi tunabaki kuchanganyikiwa, Kwani hata huko kwa mabeberu, hakuna sheria kandamizi kama huku kwetu.
Labda wakati huu tutamtambua adui yetu vyema, na Taifa letu litasonga mbele!
Tamaa za madaraka za viongozi hao wa ccm, ndizo zimetufikisha hapa! Kama ccm ingekuwa na mapenzi ya dhati kwa Taifa, isingeedelea kutudanganya kuwa maadui zetu ni “imperialists” peke yao! I think it is a combination of factors! I think the ccm leadership has failed us. Mmeshindwa kuja na jipya toka uhuru?