mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,813
- 105,992
Nashangaa nchi hii mtu unaingia supermarket, benki unapaki parking zao unalipishwa hela
Tarura wao wangeanisha sehemu zao za parking zitambulike, na waweke signs
Hii ya kuingia hadi mtaani sehemu ovyo
Wanalipisha watu syo fair, waweke na Mazingira mazuri basi kwa wenye magari
Hata mtu akilipa hanunguniki
Ova
Tarura wao wangeanisha sehemu zao za parking zitambulike, na waweke signs
Hii ya kuingia hadi mtaani sehemu ovyo
Wanalipisha watu syo fair, waweke na Mazingira mazuri basi kwa wenye magari
Hata mtu akilipa hanunguniki
Ova