kirikou1
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 4,802
- 6,468
Nimekuwa nikifuatilia ishu zinazoibuliwa mara nyingi labda na top leaders ndio inakuwa mijadala rasmi ya media.
Mfano: leo gazeti la uhuru linazungumzia rushwa pale kariakoo, kuna gazeti moja nalo linazungumzia kuhusu aliyekua DC Hai. Yote ni baada ya viongozi kuibua taarifa wao ndio wanapatia pa kuanzia.
Imekuwa pia hata awamu ya 5, waandishi wanapata cha kuandika japo kabla ya kiongozi kusema wao hawakuona kama ni ishu ya kuandika. Ni kweli hatuna waandishi wa kiuchunguzi wenye kuleta hoja hadharani au media zao zimewa-limit au wanaangalia ugali wao?
lakini pia nimejaribu kufuatilia karibu studio nyingi hata zile kubwa nchini kuhusu kualika wachambuzi mfano Rais ameteua ama kuna ugeni nchini huoni kitu cha ajabu walichonacho kama wachambuzi (wa kidiplomasia, uchumi, jamii au wasomi), zaidi watateleza na uhalisia wa muda huo lakini mambo yakibadilika watabadili tena.
Mfano: uteuzi wa MaRAS niliona badala ya wachambuzi kuonesha pande mbili za wateuliwa kutokana na utumishi/uzoefu wao etc, sheria za kiuteuzi, kama kuna makosa ya kiuteuzi (mfano kwanini RAS achague kiongozi wa chama kuja kuwa RAS nk).
Ni kwamba wanaogopa kuudhi watawala au kutokana na maelekezo ya media au wenyewe haiba zao?
Contents walizonazo binafsi sioni sababu ya wao kualikwa studio.
Mfano: leo gazeti la uhuru linazungumzia rushwa pale kariakoo, kuna gazeti moja nalo linazungumzia kuhusu aliyekua DC Hai. Yote ni baada ya viongozi kuibua taarifa wao ndio wanapatia pa kuanzia.
Imekuwa pia hata awamu ya 5, waandishi wanapata cha kuandika japo kabla ya kiongozi kusema wao hawakuona kama ni ishu ya kuandika. Ni kweli hatuna waandishi wa kiuchunguzi wenye kuleta hoja hadharani au media zao zimewa-limit au wanaangalia ugali wao?
lakini pia nimejaribu kufuatilia karibu studio nyingi hata zile kubwa nchini kuhusu kualika wachambuzi mfano Rais ameteua ama kuna ugeni nchini huoni kitu cha ajabu walichonacho kama wachambuzi (wa kidiplomasia, uchumi, jamii au wasomi), zaidi watateleza na uhalisia wa muda huo lakini mambo yakibadilika watabadili tena.
Mfano: uteuzi wa MaRAS niliona badala ya wachambuzi kuonesha pande mbili za wateuliwa kutokana na utumishi/uzoefu wao etc, sheria za kiuteuzi, kama kuna makosa ya kiuteuzi (mfano kwanini RAS achague kiongozi wa chama kuja kuwa RAS nk).
Ni kwamba wanaogopa kuudhi watawala au kutokana na maelekezo ya media au wenyewe haiba zao?
Contents walizonazo binafsi sioni sababu ya wao kualikwa studio.