screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,792
- 15,693
Yaani inakera sana kuona media zinavyosifia eti muziki wetu umekua wakati hatuna muziki wa kujivunia hadi leo. Wasanii wetu wenye majina makubwa karibu wote kazi yao ni kuangalia muziki unaotrend sehemu nyingine za Africa na kuuleta kwetu kuuwekea maneno ya kiswahili, yaani wanatambaa na upepo.
Mara waige wanaija, mara masebene, na sasa hivi ndo kero kabisa karibu kila msanii anataka aimbe Amapiano. Ukiacha muziki hata dance hawajiangaishi kucreate zao, kazi yao kucopy wanigeria na wasouth.
Tumeshindwa hata kuikuza Singeli uwe muziki wetu?
Ni aibu kujilinganisha na watu tunaowacopy, kwa style hii tutaendelea kusubiri sana
S
Mara waige wanaija, mara masebene, na sasa hivi ndo kero kabisa karibu kila msanii anataka aimbe Amapiano. Ukiacha muziki hata dance hawajiangaishi kucreate zao, kazi yao kucopy wanigeria na wasouth.
Tumeshindwa hata kuikuza Singeli uwe muziki wetu?
Ni aibu kujilinganisha na watu tunaowacopy, kwa style hii tutaendelea kusubiri sana
S