Sailor Boy
Senior Member
- Nov 25, 2010
- 103
- 5
Wana jf naombeni mnieleweshe mana nimekua nikjiuliza maswali mengi sana kuhusu hii serekali yetu inavyo tudanganya, bungeni walisema watashusha mafuta ili hali ya maisha iwe na ahueni ifikapo tar 1/7/2011 cha ajabu ilipofika hiyo tarehe mafuta yaliongezeka bei kwa kiasi cha sh 100, je ni kwanini serekali inatudanganya, na mbona hao wabunge wa chadema ndo walikua watetezi wa bei ya mafuta kushuka sasa ivi wamekaa kimya? Kwanini wanaongea tu hawafanyi kwa vitendo?