yuda75
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 520
- 1,377
Wako wapi vijana waliojichukulia ujiko wa zawadi na headlines magazetini na vyombo vya habari wako wapi kaka zetu na dada zetu waliotesa kwa ufaulu wa kutisha?
Wako wapi jamani? Tusaidiane.
Je, wapo chimbo wanajifua kuvunja record zao wenyewe?
Je, wako wanasoma na kujiendelezakimataifa?
Je, serekali imewatupa mkono kimasomo au vyomba vya habari vimewasahau?
Wako wapi jamani? Tusaidiane.
Je, wapo chimbo wanajifua kuvunja record zao wenyewe?
Je, wako wanasoma na kujiendelezakimataifa?
Je, serekali imewatupa mkono kimasomo au vyomba vya habari vimewasahau?