Mughanga Group
Member
- Jul 23, 2021
- 7
- 13
Mbowe gaidi
Masheikh wa uamsho magaidi
Wakina lema waliwahi kukamatwa kwa ugaidi
Maalim seif gaidi
Hivi huu ugaidi huwa unafanyiwa wapi?
Mbona hatuoni hayo matukio mtaani ya kishamiri?
Tukiendelea na haya Mambo ya kusema ugaidi ugaidi tutafukuza wawekezaji?
Je hii nchi iliojaaa magaidi wengi si hatari Sana kuishi mbona tunawashangaa wakimbizi (lissu,lema nk)
Masheikh wa uamsho magaidi
Wakina lema waliwahi kukamatwa kwa ugaidi
Maalim seif gaidi
Hivi huu ugaidi huwa unafanyiwa wapi?
Mbona hatuoni hayo matukio mtaani ya kishamiri?
Tukiendelea na haya Mambo ya kusema ugaidi ugaidi tutafukuza wawekezaji?
Je hii nchi iliojaaa magaidi wengi si hatari Sana kuishi mbona tunawashangaa wakimbizi (lissu,lema nk)