Hivi Tanzania kuna hospitali inayotoa huduma ya kuchoma sindano ya sumu kwa hiyari kama ilivyo ughaibuni?

Squidward

JF-Expert Member
Jul 21, 2014
6,919
7,931
r781250_6725497.JPG


Kama tunavyoona nchi za wenzetu hiki kitu kipo sana mfano kupitia yule mtanzania mwenzetu aliyechomwa sindano ya kifo huko ujerumani baada ya kushindwa kuvumilia tabu za ugonjwa alioupata , je Tanzania zipo hospitali za namna hii? Na je sheria zetu zinaruhusu hii?

REFFER: https://www.jamiiforums.com/threads/ujerumani-mtanzania-afariki-kwa-kuchomwa-sindano-ya-sumu-kwa-hiari.1553256/page-7
asante.

NB: This thread is for positive minded people na sio negative, so wenye mapovu kausheni.
#Mods hii ni mada kama mada nyengine ni kitu kipo kwenye dunia yetu so ni sahihi kuwa discussed.
 
r781250_6725497.JPG


Kama tunavyoona nchi za wenzetu hiki kitu kipo sana mfano kupitia yule mtanzania mwenzetu aliyechomwa sindano ya kifo huko ujerumani baada ya kushindwa kuvumilia tabu za ugonjwa alioupata , je Tanzania zipo hospitali za namna hii?

REFFER: https://www.jamiiforums.com/threads/ujerumani-mtanzania-afariki-kwa-kuchomwa-sindano-ya-sumu-kwa-hiari.1553256/page-7
asante.

NB: This thread is for positive minded people na sio negative, so wenye mapovu kausheni.
#Mods hii ni mada kama mada nyengine ni kitu kipo kwenye dunia yetu so ni sahihi kuwa discussed.
Pole sana mkuu.Ila hayo unayopitia kikubwa ni uvumilivu tu yatapita.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku kwetu ukitaka kuna njia mbadala kama kunywa sumu au kujinyonga kwa kamba hadi kufa hapo utakuwa umekwepa gharama nyingi na hutosumbua watu ili mradi usiache ujumbe au uache ujumbe kwamba umejiua kwa hiari yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom