nziriye
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 1,051
- 361
Ni vyema kutambua na kuwapa sifa zao wanaostahili sifa. Kuna thread imeanzishwa ya kumpongeza dada mmoja aliyepata matokeo mazuri ya chuo kikuu pale Mlimani na mie nauliza hivi Serikali inatambua mchango wa hawa vinara au vipi?
Martin Chegere pia ni mmoja wa wahitimu wa shahada ya kwanza ya ktk UCHUMI lakini historia yake inasema alikuwa kinara matokeo ya PRIMARY SCHOOL, O-LEVEL akapata Div 1-7 na A-LEVEL akapata Div 1-3 na chuo GPA 4.9 na sasa anaunganisha kusomea masters.
Huyu ni mmoja kati ya vinara wengi ambao wapo ktk vyuo vyetu mbalimbali nchini na nje ya nchi.
Je, hivi nchi yetu huwa na mipango gani na watu kama hawa ktk kuendeleza nchi yetu?
Martin Chegere pia ni mmoja wa wahitimu wa shahada ya kwanza ya ktk UCHUMI lakini historia yake inasema alikuwa kinara matokeo ya PRIMARY SCHOOL, O-LEVEL akapata Div 1-7 na A-LEVEL akapata Div 1-3 na chuo GPA 4.9 na sasa anaunganisha kusomea masters.
Huyu ni mmoja kati ya vinara wengi ambao wapo ktk vyuo vyetu mbalimbali nchini na nje ya nchi.
Je, hivi nchi yetu huwa na mipango gani na watu kama hawa ktk kuendeleza nchi yetu?