Martin Chegere ni mmoja wa hazina ya vijana Tanzania

nziriye

JF-Expert Member
Jan 23, 2011
1,051
361
Ni vyema kutambua na kuwapa sifa zao wanaostahili sifa. Kuna thread imeanzishwa ya kumpongeza dada mmoja aliyepata matokeo mazuri ya chuo kikuu pale Mlimani na mie nauliza hivi Serikali inatambua mchango wa hawa vinara au vipi?

Martin Chegere pia ni mmoja wa wahitimu wa shahada ya kwanza ya ktk UCHUMI lakini historia yake inasema alikuwa kinara matokeo ya PRIMARY SCHOOL, O-LEVEL akapata Div 1-7 na A-LEVEL akapata Div 1-3 na chuo GPA 4.9 na sasa anaunganisha kusomea masters.

Huyu ni mmoja kati ya vinara wengi ambao wapo ktk vyuo vyetu mbalimbali nchini na nje ya nchi.

Je, hivi nchi yetu huwa na mipango gani na watu kama hawa ktk kuendeleza nchi yetu?
 
Ukweli ni kwamba hawa watu wanofaulu hivyo hawana lolote la maana inapokuja kwa utendaji. Nawafahamu wengi tu wa namna hiyo wanapomaliza masomo na kuingia kazini hakuna lolote wanalofanya kuwashinda wale wenye madaraja ya chini

Ni ajabu lakini ni ukweli ambao watu wengi hawafahamu. akili za mwanadamu ni complex sana, mtu anaweza kuwa mkali sana darasani lakini ukimleta kwenye utendaji ni hopeless kabisa.

Nimesoma na watu wa namna hiyo mimi japo nimefaulu kwa kiwango cha juu ya wastani, nikijilinganisha nao nashangaa kwa jinsi walivyo nyuma kiuwezo wa kutenda na kubaki kupenda kukaa ofisini na kujivunia vyeti vya form 4 wakati walishamaliza chuo miaka 7 iliyopita!
 
Ukweli ni kwamba hawa watu wanofaulu hivyo hawana lolote la maana inapokuja kwa utendaji. Nawafahamu wengi tu wa namna hiyo wanapomaliza masomo na kuingia kazini hakuna lolote wanalofanya kuwashinda wale wenye madaraja ya chini

Ni ajabu lakini ni ukweli ambao watu wengi hawafahamu. akili za mwanadamu ni complex sana, mtu anaweza kuwa mkali sana darasani lakini ukimleta kwenye utendaji ni hopeless kabisa.

Nimesoma na watu wa namna hiyo mimi japo nimefaulu kwa kiwango cha juu ya wastani, nikijilinganisha nao nashangaa kwa jinsi walivyo nyuma kiuwezo wa kutenda na kubaki kupenda kukaa ofisini na kujivunia vyeti vya form 4 wakati walishamaliza chuo miaka 7 iliyopita!
MKUU MIMI SIAMINI,(samahani lakini)

YAANI HII KANUNI HAINIINGII AKILINI,,,,,MFANO MTU ALIONGOZA MSINGI, O-LEVEL, A-LEVEL ,CHUONI BADO UNIAMBIE KAZI ALIYOISOMEA IMSHINDE TENA?!!

MIMI SIKATAI MTU WA HIVYO ANAWEZA KUWA MZIGO KWA UZEMBE WAKE BINAFSI , ULIOSABABISHWA NA VITU VIFUATAVYO:

KUTOJIENDELEZA, DHARAU, ULEVI WA KUPINDUKIA N.K.

VITU AMBAVYO VINAWEZA KUMTOKEA MTU YEYOTE ALIYEKUWA NA AKILI DARASANI NA ASIYEKUWA NA AKILI DARASANI......KWA MAANA NYINGINE NI MAMBO YA MTU BINAFSI.


KWA HIYO WATU WENYE AKILI DARASANI....... HATA KIUTENDAJI MOST WAKO VIZURI SANA TRUST ME.
 
Kukariri sio kutenda...... afanye kitu kuisaidia taifa ili umuhimu wake uonekane.. ....


Mbona tunao akina lipumba kazi kutembeza ngumi tu kwa wenzake... wakati nchi inadidimia tu.
 
Hongera Dr Chegere,hakika wewe ni TO. Kuna jamaa yetu alikuwa anatufundsha tuition pale magomeni turiani mwisho wake haukuwa mzuri academically. The man is very bright.
 
Ni vyema kutambua na kuwapa sifa zao wanaostahili sifa. Kuna thread imeanzishwa ya kumpongeza dada mmoja aliyepata matokeo mazuri ya chuo kikuu pale Mlimani na mie nauliza hivi Serikali inatambua mchango wa hawa vinara au vipi?

Martin Chegere pia ni mmoja wa wahitimu wa shahada ya kwanza ya ktk UCHUMI lakini historia yake inasema alikuwa kinara matokeo ya PRIMARY SCHOOL, O-LEVEL akapata Div 1-7 na A-LEVEL akapata Div 1-3 na chuo GPA 4.9 na sasa anaunganisha kusomea masters.

Huyu ni mmoja kati ya vinara wengi ambao wapo ktk vyuo vyetu mbalimbali nchini na nje ya nchi.

Je, hivi nchi yetu huwa na mipango gani na watu kama hawa ktk kuendeleza nchi yetu?
unamjua huyu kwa vile umesoma nae shule hizi za sasa kwa sisi wa miak 90 wakati mazengo Tambaza Azania Tosa Mzumbe tabora zikiwika wapo wengi Mfano Dr Mugaywa Magafu ex IHUNGO NA KIBAHA wanajua alikuaje but ameishia na mavyeti yake kusikojulikana
 
Popote alipo Dr. Matarijio Ex. TPDC Director auone uzi huu..kweli ni masikitiko kama tunapoteza kumbukumbu hivi
 
Huyu bwana mdogo nimemsikia sikia sehemu mbali mbali ila kwa Academics naweza sema huyu kijana ni nyoko 🤣🤣🤣!

Nimemkubali aisee!
 
Ni vyema kutambua na kuwapa sifa zao wanaostahili sifa. Kuna thread imeanzishwa ya kumpongeza dada mmoja aliyepata matokeo mazuri ya chuo kikuu pale Mlimani na mie nauliza hivi Serikali inatambua mchango wa hawa vinara au vipi?

Martin Chegere pia ni mmoja wa wahitimu wa shahada ya kwanza ya ktk UCHUMI lakini historia yake inasema alikuwa kinara matokeo ya PRIMARY SCHOOL, O-LEVEL akapata Div 1-7 na A-LEVEL akapata Div 1-3 na chuo GPA 4.9 na sasa anaunganisha kusomea masters.

Huyu ni mmoja kati ya vinara wengi ambao wapo ktk vyuo vyetu mbalimbali nchini na nje ya nchi.

Je, hivi nchi yetu huwa na mipango gani na watu kama hawa ktk kuendeleza nchi yetu?
Huyu alitakiwa atue Harvard moja kwa Moja akakutane na vichwa wenzie. Hapo wamemuonea tu kumtia Sweden.
 
MKUU MIMI SIAMINI,(samahani lakini)

YAANI HII KANUNI HAINIINGII AKILINI,,,,,MFANO MTU ALIONGOZA MSINGI, O-LEVEL, A-LEVEL ,CHUONI BADO UNIAMBIE KAZI ALIYOISOMEA IMSHINDE TENA?!!

MIMI SIKATAI MTU WA HIVYO ANAWEZA KUWA MZIGO KWA UZEMBE WAKE BINAFSI , ULIOSABABISHWA NA VITU VIFUATAVYO:

KUTOJIENDELEZA, DHARAU, ULEVI WA KUPINDUKIA N.K.

VITU AMBAVYO VINAWEZA KUMTOKEA MTU YEYOTE ALIYEKUWA NA AKILI DARASANI NA ASIYEKUWA NA AKILI DARASANI......KWA MAANA NYINGINE NI MAMBO YA MTU BINAFSI.


KWA HIYO WATU WENYE AKILI DARASANI....... HATA KIUTENDAJI MOST WAKO VIZURI SANA TRUST ME.
Kazi pekee anayoweza fanya kwa ufanisi ni kufundisha tu
 
Back
Top Bottom