kasanga70
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 212
- 489
Hakuna kitu mnanikera kama mashimo yaliyoko lami ambayo yanadumu mwaka mzima.
Mashimo yanaharibu gari, yanasababisha ajali mbaya Sana na kupunguza uzalishaji na nguvu kazi ya Taifa. Juzi nimepita njia ya Iringa Dodoma.
Mashimo yaleyale niliopita mwaka juzi nimekuta yameongezeka hasa hasa mkoa wa Iringa kuanzia Njiapanda ya Tosa hadi Mtera; kagueni kuna mishimo kibao humo mnataka hadi waziri apate ajali ndio mje myazibe siyo?
Mnaudhi sana kwa kweli.
Mashimo yanaharibu gari, yanasababisha ajali mbaya Sana na kupunguza uzalishaji na nguvu kazi ya Taifa. Juzi nimepita njia ya Iringa Dodoma.
Mashimo yaleyale niliopita mwaka juzi nimekuta yameongezeka hasa hasa mkoa wa Iringa kuanzia Njiapanda ya Tosa hadi Mtera; kagueni kuna mishimo kibao humo mnataka hadi waziri apate ajali ndio mje myazibe siyo?
Mnaudhi sana kwa kweli.