Habari wakuu,
Hapo awali kabla magojwa yanayosababishwa na ngono zembe kuwepo kwa wingi, kulikuwa na tabia hii hapa...
'Mwanaume anatongoza msichana na akikubaliwa, wanaanzisha mahusiano ambapo mwisho wa siku wanakuja kujamiiana. Mara ya kwanza ya tukio watavaa kinga na mara ya pili pengine na ya tatu, baada ya hapo "wanatembelea rim" kwa madai kwamba wameshazoeana. Wengine siku hiyo hiyo watafanya na kinga round one na zingine zinazoendelea wanapiga vyombo vitupu'
Ndio nauliza hapa, bado kuna watu wanaendeleza haka katabia? Wale wazee wa emergency kwani mnasemaje?
Hapo awali kabla magojwa yanayosababishwa na ngono zembe kuwepo kwa wingi, kulikuwa na tabia hii hapa...
'Mwanaume anatongoza msichana na akikubaliwa, wanaanzisha mahusiano ambapo mwisho wa siku wanakuja kujamiiana. Mara ya kwanza ya tukio watavaa kinga na mara ya pili pengine na ya tatu, baada ya hapo "wanatembelea rim" kwa madai kwamba wameshazoeana. Wengine siku hiyo hiyo watafanya na kinga round one na zingine zinazoendelea wanapiga vyombo vitupu'
Ndio nauliza hapa, bado kuna watu wanaendeleza haka katabia? Wale wazee wa emergency kwani mnasemaje?