Hivi taa la Pikipiki hazina mwanga mdogo (low)?

Mparee2

JF-Expert Member
Sep 2, 2012
2,580
4,262
Kuna waendesha pikipiki wengi ikifika jioni/usiku huendesha pikipiki wakati wamesha taa kali sana. Wengine hubadilisha taa halisi na kuweka mwanga mkali sana kwa watumiaji wengine wa barabara
Huwa najiuliza:
Hivi hizi pikipiki hazina sehemu ya kupunguza mwanga wa taa?
Kimsingi ni hatari sana kwani ukimulika muendesha gari kwa taa kali sana, kama hayuko vizuri sana ujue kuna mawili, akufuate au akwepe pembeni
Ila kukwepa pembeni sio rahisi sana kwani anakuwa haoni tena pembeni hivyo (hunjoosha tu liwelo na liwe) inamaana, mwenye pikipiki anajiongezea nafasi ya kusabaisha ajali kwa kujua au kwa kuto kujua
 
Waendesha bodaboda na wamachinga ndio wababe wa nchi kwa sasa, hakuna wa kuwafanya kitu.
 
Kuna waendesha pikipiki wengi ikifika jioni/usiku huendesha pikipiki wakati wamesha taa kali sana. Wengine hubadilisha taa halisi na kuweka mwanga mkali sana kwa watumiaji wengine wa barabara
Huwa najiuliza:
Hivi hizi pikipiki hazina sehemu ya kupunguza mwanga wa taa?
Kimsingi ni hatari sana kwani ukimulika muendesha gari kwa taa kali sana, kama hayuko vizuri sana ujue kuna mawili, akufuate au akwepe pembeni
Ila kukwepa pembeni sio rahisi sana kwani anakuwa haoni tena pembeni hivyo (hunjoosha tu liwelo na liwe) inamaana, mwenye pikipiki anajiongezea nafasi ya kusabaisha ajali kwa kujua au kwa kuto kujua
Ngoja waje
 
... not only pikipiki bali hata magari! Kuna kamchezo ka kuongeza taa fulani zenye mwanga mkali sana ambazo wanazitumia kutishia watumiaji wengine wa barabara. Hapo ndipo mamlaka zetu zinaposhindwa kutekeleza wajibu wao! Kwa mfano kwa mazingira ya Tanzania, tabia na desturi za watanzania (ulimbukeni) walitakiwa waweke max luminar intensity/flux ya taa za vyombo vya barabarani.

Kwa kiwango fulani ukali wa mwanga huchangia sana kwenye ajali za barabarani badala yake wao wanakimbizana na 50 tu! Kwanza vifaa vitakavyozidi kiwango hicho visiingizwe nchini na ukaguzi wa mara kwa mara ufanyike atakayekutwa na zaidi ya kiwango kilichopitishwa kisheria awajibishwe. Tujifunze kuishi kistaarabu!
 
Wamachinga na Bodaboda ndio wanaoiweka sirikali madarakani, ndio wanaoiendesha inji, ndio wababe wa inji hii.
 
Kuna wengine wanatembea na full light, akikupiga full na wewe unaweka fasta ili mwende sawa....
 
Back
Top Bottom