Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
1 Wakorinto 7:8 -9
Basi, wale ambao hawajaoana na wale walio wajane nawaambia kwamba ni vema kuendelea kuwa kama mimi nilivyo. Hata hivyo, kama mtu hawezi kujizuia basi, na aoe; maana ni afadhali zaidi kuoa kuliko kuwaka tamaa.
Salaaaaaaale.... nyumba ya baba imegeuka soko la biashara...!!