Makusudically
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 2,201
- 1,232
Sugu alimgonga na gari mtoto yatima tena kwenye pundamilia na kumuua kabisa, lakini Wanachadema hawaongelei kabisa unyama huu wamekomaa na suala la Lissu tu. Jamani tuelezeeni kesi inaendeleaje? Nijuavyo mimi kwenye Zebra crossing ukigonga ni jela tu. Mbona huyu jamaa yuko nje?