Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,532
- 225,086
Amen...Nakazia, naongezea wale wanaovaa sijui macheni makubwa wameyaning'ing'iniza au mipete ya ajabu. Mwanaume vaa saa tu inatosha kama ni pete basi iwe ya ndoa, kifupi sipendi mtu anaevaa pete kama urembo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app