G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,335
- 5,184
Kabla hatujafka zile siku tatu tulizoahidiwa kuwa kutakuwa na mrejesho wa kilichojiri kwa Mo, inawezekana hatujui kuhesabu ingawa hata president alisema watz siyo wajinga hizo siku najua bado deadline ijo mbali ila huyu Faru John naye hatujasahau mrejesho wake!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app