Nini chanzo cha kamasi na makohozi?

G M S

JF-Expert Member
Mar 30, 2011
502
53
Samahani wadau naomba kujua ktk mwili chanzo cha kamasi na makoozi ni nini? Kipindi mtu anamafua na kamasi zinaongezeka kwa nin? Na makoozi yanatoka wapi?

Je, mtu anayekuwa na makoozi mara kwa mara(kwa kubanja) kwanini? na inakuaje mtu ana anakohoa makoozi yenye chembechembe za damu?

Nawasilisha.
 
maaamaaaa huyo mjomba wake UKIMWI(TB) nenden kapime hayo makoozi
 
samahani wadau naomba kujua ktk mwili chanzo cha kamasi na makoozi ni nini? Kipindi mtu anamafua na kamasi zinaongezeka kwa nin? Na makoozi yanatoka wapi? Je mtu anayekuwa na makoozi mara kwa mara(kwa kubanja) kwanini? Na inakuaje mtu ana anakohoa makoozi yenye chembechembe za damu? Nawasilisha.
nenda jukwaa la madokta watakupa jibu fasta
 
Ndugu yangu kwa ushauli nenda katika jf doctor wanaweza kukupa jibu zuli mana wao wanaelimu juu ya matatizo na tiba zake
 
hivi ka hamna majibu si mnyamaze tu, sasa aende jukwaa la jf doctor kwani hapa ni jukwaa gani? au mi ndo nimekosea jukwaa maana nilitaka kuingia jf doctor, embu nisaidieni hili ni jukwaa gani jamani.
 
Hofu yangu ni ikiwa tutapata msamiati wa kutosha wa kiswahili kuweza kuelezea na kueleweka kwa uzuri. Kwanza nikutoe hofu,Humu ndimo JF Doctor.

Mwili wetu ni aina fulani ya automatic machine ambayo ufanyaji kazi wake ni wa ajabu sana tu. Kwanza ujue kuwa mwili wetu umetengenezwa kwa kwa mamailion ya chembechembe ndogo sana zinaitwa cells. Hizi cells zipo kila mahali mwilini na zinafanya kazi tofauti. Ngozi imetengenezwa na cells za aina yake,ubongo nao kwa cells za aina yake,mifupa hivyo hivyo,moyo,mapafu,nywele..... nk.

Lakini pia ni vema tukajua kuwa mwili una namna yake ya kujikinga na magonjwa(body immunity). Kwa mfano kwenye damu kuna chembe hai nyeupe za damu,ngozi ina layer fulani kwa juu ambayo haipenyeki kirahi hata na maji, tumboni kuna cells maalum ambazo zinatengeneza hydrochloric acid ambayo pamoja na kusaidia kwnye uyeyushaji chakula,inasaidia pia kuuwa vijidudu mbalimbali tunavyomeza.

Njia ya hewa (kuanzia puani hadi kwenye mapafu) ni kama tube ambayo imetengenezwa na cells (epithelium) zenye uwezo wa kutoa(secrete) ute(mucus).Kiasi cha ute unaotengenezwa kianategemea na hali ya kiafya katika njia ya hewa. Endapo mtu akipata maambukizi katika njia ya hewa kunakuwa na muwasho(irritation) na hii inasababisha kutoka kwa wingi ute(secretions).Sasa jina si hoja sana maana hiki ni kitu kimoja kwani yanatokana na cells za aina moja! Kibongo kama ni kuani tutaita kamasi na kama ni kwenye koo(throat) tutaita makohozi, lakini kimantiki hiki ni kitu kimoja.

Ni vema ikaeleweka kwamba hakuna ugonjwa wa kikohozi! Kukohoa ni namna mwili unareact against muwasho kooni. Kimsingi is an attempt kutoa nje kile kitu kinachosababisha muwasho pale. Kwamba koo linadetect kuwa kuna hali isiyo ya kawaida then epitheliun inatoa ute kwa ajili ya kuneutralize na kuflash out kile kitu kwa kukohoa. That's all.


Hewa kuana kua b
 
Samahani wadau naomba kujua ktk mwili chanzo cha kamasi na makoozi ni nini? Kipindi mtu anamafua na kamasi zinaongezeka kwa nin? Na makoozi yanatoka wapi? Je mtu anayekuwa na makoozi mara kwa mara(kwa kubanja) kwanini? na inakuaje mtu ana anakohoa makoozi yenye chembechembe za damu? Nawasilisha.
soma hii utapata mwanga
 
Back
Top Bottom