kukumdogo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 2,867
- 2,746
Kusini ndipo ilipo Hazina kubwa ya taifa na lazima ilindwe. Kuweka miundombinu ni kuhatarisha Hazina hizo adim ambazo wakusini wengi hawazijui. Kuna Mafuta, gesi, dhahabu, almasi, sapphire, ruby, uranium, Helium na madude mengi. So lazima tuzilinde kwa kuacha sehem kubwa sana kuwa pori na miundombinu mibovu hadi watu wapate akili.