Hivi sisi wanaume wa siku hizi tuna akili kweli? Mbona hawa wanawake watatuua!

Kwangu hilo halipo kutokana na umri na uzoefu..... kwani Mama yako mzazi kabila lake ni lipi? Au baba yako ilikula kwake? Kuwa positive na ishi nao kwa akili na timiza majukumu yako.
Kila wakati nikizungumzia hatari za wanawake unataka ndugu zangu kuona kama nitaweka lakini wapi. Awe Mama yangu ama Mamako tabia ni zile zile.
 
Hapa hakuna kufunga Thread tujadiliane halafu tuje na maazimio, kaka TWAFWAAA!!.. Yaani wanaume tumekuwa kama tunaumwa degedege kwenye ubongo. Utakuta jitu zima linaulizia, eti vumbi he! Halafu Lina v8, limempangishia mwanamke mbezi, limemhonga vanguard, na bado linapelekeshwa.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kila wakati nikizungumzia hatari za wanawake unataka ndugu zangu kuona kama nitaweka lakini wapi. Awe Mama yangu ama Mamako tabia ni zile zile.
Mama yangu na watoto na wajukuu wake hawana shida. Nakuuliza kuhusu ndugu, dada na mama yako ili utafute hata mfano mmoja wa kukupa imani kuwa wanawake bora wapo.

Narudia, chagua mke bora kutoka familia sahihi, timiza majukumu yako kama mwanaume, ishi naye kwa akili. Ndoa zipo na zinadumu endapo vigezo vya mke utavyoangalia si matako na degree sijui utoto wa mjini pekee.
 
Mama yangu na watoto na wajukuu wake hawana shida. Narudia, chagua mke bora kutoka familia sahihi, timiza majukumu yako kama mwanaume, ishi naye kwa akili. Ndoa zipo na zinadumu endapo vigezo vya mke utavyoangalia si matako na degree sijui utoto wa mjini pekee.
Aya bhana....kila la kheri.
 
Sasa hivi kumezuka mtindo wa wanawake kutugeuzageuza Kama tunachomwa sisi ni chapati. Mahitaji yao ya kuridhishwa kingono na kimaslahi yanaongezeka na kubadilika kila kukicha. Zamani MAPENZI tu yalitosha kufanya mwanamke aishi na mwanaume sasa hivi hali ni tofauti kabisa. Wanawake sasa wanataka HELA, MAGARI, MAJUMBA MAZURI, WAPELEKEWE MOTO NA TUWE NA MUONEKANO WENYE MISULI SURA KAMA ZA KINA HEMED PHD. Yaani utafute hela za kuweza kumiliki MAJUMBA na magari, bado uende gym, upake na mkongo, na bado ushinde saloon upendeze hivi haya yanawezekana kweli?

Na wanawake wanajua kufanya PROMOTION. Wakitaka jambo, wataliimba, watalisifia, watalisema kila mahali ili mradi lengo litimie. Kwa sasa ni Kama wanawake ndiyo wanaoongoza nchi. Wanaume tumekufa akili kabisa hatuna ujanja. Kisa! Tunataka ngono.

Ni wanawake wameyaharibu maumbile yao (K) na kuyafanya kuwa makubwa na yenye SUGU, kwa sababu ya kubadilibadili wanaume, kutumia toys na kujichua, sasa hawaridhiki kirahisi. Badala ya kubadili mienendo yao wanatulaumu sisi kuwa hatuwatoshelezi. Wanaume hata bila kufikiri, tuahangaika huku na hiku Kama mazuzu, mala tupake mkongo, mala tunywe dawa tusikojoe haraka, watu wanakimbia barabarani na kwenye ma gym kutafuta pumzi, siku hizi kuongeza "ndushe" imekuwa jambo la kawaida. Yote tunataka kumridhisha mwanamke. Hivi SISI tuna akili kweli? Ndiyo maana siku hizi wanaume tunazeeka haraka kuliko wanawake. Miaka 40 tupo hoi tumekongoroka chakali, miili ilishachoka kabisa.

Nyinyi wanaume wanawake hawajawahi kutosheka. Huwezi kushindanda na ukubwa wa "K". K inatanuka, hata uliongeza ukubwa wa dushe bado inatanuka zaidi kama mwanamke wako ataenda kukutana na aliyeongeza kuliko wewe, ukumbuke hapo anapita mtoto.

Wanataka tuwapelekee moto kwa sababu K zilishakuwa na sugu. Yaani mpaka ajisikie inakulazimu usugue mpaka patake kutoa moshi. Wapo watu unapampu mpaka masaa mawili na bado mechi bilabila. K ilishasuguliwa na vidole vya mkulima tena wa moshi kwenye baridi ikasuguliwa na midoli ya plastic tena yenye vibrator we na kingozi chako hicho tena kinashinda kimefunikwa kwenye joto la Dar utaiweza!

Sisi wanaume tubadilike, hebu tuacheni huu ujinga, kuanzia sasa ukikutana na jike limekomaa K, unalisugua nusu saa halikojoi PIGA CHINI. Unakutana na lijike kila siku mizinga haieleweki PIGA CHINI,( sijasema tusiwape hela, sitaki watuuzie, sitaki watudai, sitaki watutapeli)
Ukikutana na lijike Lina tamaa, limalaya PIGA CHINI.Mwiko wanaume kuchangia demu.

Wanawake wanatusumbua kwa sababu sisi Hatutumii akili. Wakisema "mwanaume mashine" hatutaki vibami" sie mbio gym na dukani kuongeza maumbile. Wakisema wanaume hatutosheki sie mbio, kupaka mkongo, kunywa dawa za kuongeza uvumilivu, au aina fulani za pombe, au ndio tunaanza mazoezi kutafuta pumzi. HATA HATUJIULIZI KWA NINI HAWARIDHIKI.

Kuanzia sasa wanaume tutafute, tujenge majumba ya maana, tununue magari makali, tumiliki miradi ya maana, na hamna kushobokea wanawake. Anataka poa, lakini tusichoshane na tusiibiane. Yaani mwendo inatakiwa uwe wa kunata mpaka wabadilike.

Sisi tumeacha Demand ya wanawake imekuwa kubwa wakati wao ni wengi kwa sababu tunakwenda wanavyotaka. Tumewaacha wao ndiyo wanaamua tuweje. Karibu wataanza kutuoa.

Wanawake punguzeni jamani mtatumaliza. Vibinti vinaua wazee siku hizi maana
Hahaha k imepanuka!
 
Utajua mwenyewe na wanawake waliokuzunguka, Pambana na hali yako ila wanawake wapo waliolelewa kwa adabu, mabinti wa kitanzania wenye hofu ya MUNGU na walezi wa familia inategemeana tu wewe na circle yako ya wanawake.
Kwani dada na ndugu zako wewe wapoje? Mtu akioa kwenu imekula kwake?
Wewe ni Simp bila shaka.....
 
Sahihi kabisa, Wadada walio wengi, hasa waliofika elimu ya Chuo, Hupenda mahusiano au mapenzi ya_Kitamthilia zaidi, Yasio na uhalisia, na Ndio hao wengi wao hushidwa kuishi na wenza.
Hilo Ndiyo Ukisikia Zimwi Likujualo

Yaani Wakifika Vyuoni Wanarudi Home Wakikataa Hali Halisi Hapo SSasa Ndiyo Anguko
 
Back
Top Bottom