Hivi sisi wanaume wa siku hizi tuna akili kweli? Mbona hawa wanawake watatuua!

Wanawake sasa wanataka HELA,MAGARI, MAJUMBA MAZURI, WAPELEKEWE MOTO, NA TUWE NA MUONEKANO WENYE MISULI SURA KAMA ZA KINA HEMED PHD.Yaani utafute hela za kuweza kumiliki MAJUMBA na magali, bado uende gym, upake na mkongo, na bado ushinde saloon upendeze hivi haya yanawezekana kweli?
Nimeishia hapa hakuna kitu km hicho wewe umelewa na habari za kwenye mitandao lkn uhalisia mtaani hauko hivyo
 
Sasa hivi kumezuka mtindo wa wanawake kutugeuzageuza Kama tunachomwa sisi ni chapati. Nahitaji yao ya kuridhishwa kingono na kimaslahi yanaongezeka na kubadilika kila kukicha. Zamani MAPENZI tu yalitosha kufanya mwanamke aishi na mwanaume sasa hivi hali ni tofauti kabisa. Wanawake sasa wanataka HELA,MAGARI, MAJUMBA MAZURI, WAPELEKEWE MOTO, NA TUWE NA MUONEKANO WENYE MISULI SURA KAMA ZA KINA HEMED PHD.Yaani utafute hela za kuweza kumiliki MAJUMBA na magali, bado uende gym, upake na mkongo, na bado ushinde saloon upendeze hivi haya yanawezekana kweli?

Na wanawake wanajua kufanya PROMOTION. Wakitaka jambo, wataliimba, watalisifia, watalisema kila mahali ili mradi lengo litimie. Kwa sasa ni Kama wanawake ndiyo wanaoongoza nchi. Wanaume tumekufa akili kabisa hatuna ujanja. Kisa! Tunataka ngono.

Ni wanawake wameyaharibu maumbile yao (K) na kuyafanya kuwa makubwa na yenye SUGU, kwa sababu ya kubadilibadili wanaume, kutumia toys na kujichua, sasa hawaridhiki kirahisi. Badala ya kubadili mienendo yao wanatulaumu sisi kuwa hatuwatoshelezi. Wanaume hata bila kufikiri, tuahangaika huku na hiku Kama mazuzu, mala tupake mkongo, mala tunywe dawa tusikojoe haraka, watu wanakimbia barabarani na kwenye ma gym kutafuta pumzi, siku hizi kuongeza "ndushe" imekuwa jambo la kawaida. Yote tunataka kumridhisha mwanamke. Hivi SISI tuna akili kweli? Ndiyo maana siku hizi wanaume tunazeeka haraka kuliko wanawake. Miaka 40 tupo hoi tumekongoroka chakali, miili ilishachoka kabisa.

Nyinyi wanaume wanawake hawajawahi kutosheka. Huwezi kushindanda na ukubwa wa "K". K inatanuka, hata uliongeza ukubwa wa dushe bado inatanuka zaidi kama mwanamke wako ataenda kukutana na aliyeongeza kuliko wewe, ukumbuke hapo anapita mtoto.

Wanataka tuwapelekee moto kwa sababu K zilishakuwa na sugu. Yaani mpaka ajisikie inakulazimu usugue mpaka patake kutoa moshi. Wapo watu unapampu mpaka masaa mawili na bado mechi bilabila. K ilishasuguliwa na vidole vya mkulima tena wa moshi kwenye baridi ikasuguliwa na midoli ya plastic tena yenye vibrator we na kingozi chako hicho tena kinashinda kimefunikwa kwenye joto la Dar utaiweza!

Sisi wanaume tubadilike, hebu tuacheni huu ujinga, kuanzia sasa ukikutana na jike limekomaa K, unalisugua nusu saa halikojoi PIGA CHINI. Unakutana na lijike kila siku mizinga haieleweki PIGA CHINI,( sijasema tusiwape hela, sitaki watuuzie, sitaki watudai, sitaki watutapeli)
Ukikutana na lijike Lina tamaa, limalaya PIGA CHINI.Mwiko wanaume kuchangia demu.

Wanawake wanatusumbua kwa sababu sisi Hatutumii akili. Wakisema "mwanaume mashine" hatutaki vibami" sie mbio gym na dukani kuongeza maumbile. Wakisema wanaume hatutosheki sie mbio, kupaka mkongo, kunywa dawa za kuongeza uvumilivu, au aina fulani za pombe, au ndio tunaanza mazoezi kutafuta pumzi. HATA HATUJIULIZI KWA NINI HAWARIDHIKI.

Kuanzia sasa wanaume tutafute, tujenge majumba ya maana, tununue magari makali, tumiliki miradi ya maana, na hamna kushobokea wanawake. Anataka poa, lakini tusichoshane na tusiibiane. Yaani mwendo inatakiwa uwe wa kunata mpaka wabadilike.

Sisi tumeacha Demand ya wanawake imekuwa kubwa wakati wao ni wengi kwa sababu tunakwenda wanavyotaka. Tumewaacha wao ndiyo wanaamua tuweje. Karibu wataanza kutuoa.

Wanawake punguzeni jamani mtatumaliza. Vibinti vinaua wazee siku hizi maana
Mkuu uneandika mengi ya maaana sana na kwa kirefu.
Ukweli wanaume wamegeuzwa watumwa wa wanawake sababu ya uroho wa quuma pamoja na ego zisizokuwa na maana.
Wanaume licha ya kupewa akili na nguvu nyingi kuliko wanawake, bado rate ya me kufa ipo juu kuliko ya ke.
Mnaweza zaliwa mwaka mmoja na mwanamke ila kwenye kufa ke atakufa miaaka 20 au 30 baadae. Hii ni sababu jamii imempangia mwanaume majukumu mengi yasiyo na usawa, plus me naye anajiona kama mtumishi wa ke kwa kila kitu.
Sasa ni wakati wa kuamka, mwanaume jukumu lako la kwanza na la msingi ni kujijali wewe mwenye.
 
Mkuu uneandika mengi ya maaana sana na kwa kirefu.
Ukweli wanaume wamegeuzwa watumwa wa wanawake sababu ya uroho wa quuma pamoja na ego zisizokuwa na maana.
Wanaume licha ya kupewa akili na nguvu nyingi kuliko wanawake, bado rate ya me kufa ipo juu kuliko ya ke.
Mnaweza zaliwa mwaka mmoja na mwanamke ila kwenye kufa ke atakufa miaaka 20 au 30 baadae. Hii ni sababu jamii imempangia mwanaume majukumu mengi yasiyo na usawa, plus me naye anajiona kama mtumishi wa ke kwa kila kitu.
Sasa ni wakati wa kuamka, mwanaume jukumu lako la kwanza na la msingi ni kujijali wewe mwenye.
Goooood! Nimekukubali aisee!
 
Wanawake wapo wengi sana, wake bora, mama bora na walezi bora wa watoto. Acha kutaka sifa kuwa una demu mkali mjanja mwenye tako utawaona wengi tu.
Ni fantasy za mwanaume kuwa na mke bora atakaekuwa Mama na mlezi bora wa watoto.
Ukweli ni kwamba hakuna mwanamke bora. Wote ni sawa tu, wabinafsi, choyo, chuki na wivu wa kijinga ndii zao.
 
Hayo unayoyasema hayajaanza miaka hii bali ilikuwepo tangu zamani sana kwamba jamii iliwabrain washed wanaume wawatumike wanawake au kuwa controled kwa ajili ya kutimiza matamanio ya wanawake mfano mzuri
ulikuwa ukitaka kuoa lazima utoe ng'ombe wa kutosha/mali au lazima upigane na mnyama mkali au kufanya jambo la kuhatarisha uhai wako ili tu umfurahishe huyu mchumba wako wa kike na familia yake na kunajamii zilienda mbali kama za zanzibar mwanaume unatakiwa uende kutafuta pesa na ukirudi nyumbani pia unabidi ufanye kazi zote za nyumbani huku mke wako kazi yake ni kujiremba na kupiga stori kiukweli wanaume tumekuwa slaved na wanawake for many milleniums ago through marriage and relationship nadhani kwa babu zetu hali ilikuwa mbaya zaidi yetu wao waliamini kupata mwanamke

ila kwa bahati nzuri miaka hii wanaume wengi wameanza kuamka ndio maana marriage rate inazidi kua ndogo kila kukicha na wanaume wengi wanajifunza huo unyonyaji wa wanawake uliokuwa ukifanywa kwa miaka mingi
wengi wao wanafata sasa(ideology ya MGTOW na redpill ungenda mtandaoni kufatilia zaidi kwa taarifa zaidi )
Huko miaka ya mbeleni ndio hali itazidi kuwa mbaya kama itatokea ww3 hapo ndipo neno la bwana litatimia kwenye (isaya4:1)
hizi ni baadhi memes ambazo ukizisoma unatajua kuwa wanaume wengi ila sio wote ila siku hizi wengi wameamka na hawataki kusikia tena kuhusu ndoa

images.jpeg


images (4).jpeg


images (6).jpeg


images (2).jpeg


images (3).jpeg
 
Ni fantasy za mwanaume kuwa na mke bora atakaekuwa Mama na mlezi bora wa watoto.
Ukweli ni kwamba hakuna mwanamke bora. Wote ni sawa tu, wabinafsi, choyo, chuki na wivu wa kijinga ndii zao.
Utajua mwenyewe na wanawake waliokuzunguka, Pambana na hali yako ila wanawake wapo waliolelewa kwa adabu, mabinti wa kitanzania wenye hofu ya MUNGU na walezi wa familia inategemeana tu wewe na circle yako ya wanawake.
Kwani dada na ndugu zako wewe wapoje? Mtu akioa kwenu imekula kwake?
 
Utajua mwenyewe na wanawake waliokuzunguka, Pambana na hali yako ila wanawake wapo waliolelewa kwa adabu, mabinti wa kitanzania wenye hofu ya MUNGU na walezi wa familia inategemeana tu wewe na circle yako ya wanawake.
Kwani dada na ndugu zako wewe wapoje? Mtu akioa kwenu imekula kwake?
Kila la kheri Mkuu hadi utakapojua wanawake wote kabila lao moja.
 
Hayo unayoyasema hayajaanza miaka hii bali ilikuwepo tangu zamani sana kwamba jamii iliwabrain washed wanaume wawatumike wanawake au kuwa controled kwa ajili ya kutimiza matamanio ya wanawake mfano mzuri
ulikuwa ukitaka kuoa lazima utoe ng'ombe wa kutosha/mali au lazima upigane na mnyama mkali au kufanya jambo la kuhatarisha uhai wako ili tu umfurahishe huyu mchumba wako wa kike na familia yake na kunajamii zilienda mbali kama za zanzibar mwanaume unatakiwa uende kutafuta pesa na ukirudi nyumbani pia unabidi ufanye kazi zote za nyumbani huku mke wako kazi yake ni kujiremba na kupiga stori kiukweli wanaume tumekuwa slaved na wanawake for many milleniums ago through marriage and relationship nadhani kwa babu zetu hali ilikuwa mbaya zaidi yetu wao waliamini kupata mwanamke

ila kwa bahati nzuri miaka hii wanaume wengi wameanza kuamka ndio maana marriage rate inazidi kua ndogo kila kukicha na wanaume wengi wanajifunza huo unyonyaji wa wanawake uliokuwa ukifanywa kwa miaka mingi
wengi wao wanafata sasa(ideology ya MGTOW na redpill ungenda mtandaoni kufatilia zaidi kwa taarifa zaidi )
Huko miaka ya mbeleni ndio hali itazidi kuwa mbaya kama itatokea ww3 hapo ndipo neno la bwana litatimia kwenye (isaya4:1)
hizi ni baadhi memes ambazo ukizisoma unatajua kuwa wanaume wengi ila sio wote ila siku hizi wengi wameamka na hawataki kusikia tena kuhusu ndoa

View attachment 1934642

View attachment 1934643

View attachment 1934644

View attachment 1934645

View attachment 1934646

Mbele mbele wana wameustukia utapeli huu

Wana enjoy wenyewe tu bila stress.
 
Back
Top Bottom