Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni kweli kabisa na ndo linalo wakumba watu wengi sana.Kuna machaguzi tulifanya na hayakua sahihi na zaidi sana haya machaguzi ni kwenye elimu.
Unakuta taasisi inaoffer vacancies zaidi ya 300 halafu kozi yako haijaguswa popote. Ajira portal hawajaweka chochote cha kozi yako unaenda mwaka wa pili sasa.
Tatizo izo skills ata shuleni hawafundishi 🤣🤣🤣....Tena Apo kwenye persuasion watu wakiambiwa wasome vitabu wanaona utani back kwa mtoa mada. komaa baharia...badilisha marafiki na mazingira.Mkuu ukiona hupati pesa hiyo maana yake ujuzi au Skills ulizonazo nizakiwango cha chini.
Jifunze Skills mpya zinazohitajika kwenye real world ili upate pesa...
Ata basi naelewa basi tu nami natazama tazama ila point hii👍 nalog offMkuu ukiona hupati pesa hiyo maana yake ujuzi au Skills ulizonazo nizakiwango cha chini...
Tatizo izo skills ata shuleni hawafundishi ....Tena Apo kwenye persuasion watu wakiambiwa wasome vitabu wanaona utani.......back kwa mtoa mada......komaa baharia...badilisha marafiki na mazingira.....
Ni vizuri uwe unabadilisha gia unapogundua kuwa huku niliko vitu vinakataa,kulazimisha kwenye baadhi ya vitu huwa kunasaidia ingawa sio mara zote.Cha kufanya ni kutafuta jambo lingine ili uweze kupambana kuweza kukufikisha kwenye au karibu na ndoto zako za maisha maana maisha bila ya kuwa na ndoto huwezi fika popote...Kama kichwa habari kinavyojielezea hivi sisi tuliofeli katika maisha ni wapi tuliopokosea.
Na nini cha kufanya kutoka katika shimo hili maana umri unasonga bado tupo shimoni.
Mkuu ukiona hupati pesa hiyo maana yake ujuzi au Skills ulizonazo nizakiwango cha chini.
Jifunze Skills mpya zinazohitajika kwenye real world ili upate pesa.
Kwa kuanza anza na hizi.
1 • communication skills
2 • Persuasion
3 • Selling
Ukiwa na hizo skills 3 utaanza kuelewa jinsi yakutengeneza pesa anywhere anytime.
Hivi aliefeli kimaisha yukoje? Isije kuwa nimefeli ila sijijui!Kama kichwa habari kinavyojielezea hivi sisi tuliofeli katika maisha ni wapi tuliopokosea.
Na nini cha kufanya kutoka katika shimo hili maana umri unasonga bado tupo shimoni.