BILGERT
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 6,535
- 10,974
Hahaha,kabisa aiseee.Watu wengi Wana uwezo wa kupata hizo basic needs..lakini wanaona umri unaenda bila kutimiza ndoto walizo jiwekea katika maisha yao.Dooh! Ananimezesha sumu?!
Hahaha,kabisa aiseee.Watu wengi Wana uwezo wa kupata hizo basic needs..lakini wanaona umri unaenda bila kutimiza ndoto walizo jiwekea katika maisha yao.Dooh! Ananimezesha sumu?!
Fuata huu ushauriKwa kuwa maisha ni mchezo "cheza vizuri kuna siku utashinda " usiogope hata kumlima mtu mtama uwanjani, nia yako ni kupata goli.
Sina hakika Kama mbinu hizi ni sahihi.Njia pekee nadhani ya kutoboa kwangu Mimi moja ni kufanya kazi kwa bidii kufikia lengo ulilojiwekea,pili kujifanyia tadhimini Kama umefikia malengo ndani ya muda na Kama hujafikia nini ilikuwa tatizo and how to improve going forward.ila kumuomba Mungu na kusubiria while you keep doing same thing everyday utasubiri sana hayo mafanikioEndelea kumuomba Mungu huku ukiamini katika kesho
Liverpool imesubiri zaidi ya miaka 30 kubeba taji la EPl
Mzee wa KFC alisubiri mpaka kwenye 60's ndio akafanikiwa
Amini katika kesho mzee umri ni namba tu
Kushindwa tu kupata on time kile moyo wako unatamani ni signs za kufeli.Umetumia kiwango kipi cha ufaulu kujipima ukagundua umefeli?
Mkuu maiti tu ndo hana tamaa,Kama wewe ni mtu mzima na huna tamaa na Mambo mazuri basi jinuse probably umeshakufa Ila hujui tu.Vijana mliozaliwa miaka ya 1982 munatamaa sana.
Boss wangu amewahi kushauri kwamba you don't need to work for an organization for more than 5years kwa wale waajiriwa wenzanguHuu ni uzi wa pili wenye maudhui yanayofanana toka kwa huyu mleta mada, na mimi nulishauri hiki ulichomshauri, abidili mazingira, aina ya marafiki na mbinu anazotumia kutafuta hela, asione vibaya kwenda kuanza upya ktk mazingira tofauti. range ya miaka 5 inamtosha kufanya jambo la kuepuka umaskini.
Mkuu Kama wewe huishi kisiwani,naamini hapo mtaani kwako au maeneo unayozingukia Kuna watu wenye mshiko kuliko wewe,kujiuliza tu why sipo Kama yule au kushindwa kupata kwa wakati kile moyo wako unatamani ni dalili za kufeli tayari na haijarishi hadi muda huo una niniHivi unajitangaza umefeli kimaisha kwa kigezo gani? Nini hasa kinakuhakikishia wewe umefeli kimaisha. Majibu yoyote hutoka mwisho wa tukio kwamba umefeli au umefaulu... sasa je wewe umefika mwisho na ikaamuliwa umefeli????? huyo mtoa majibu ni nani????
Maisha ni mapambano.... majibu hutoka ile siku unasikia watu wanaporomosha udongo juu yako huku wanalia!!!
Mfano wa hizo kazi n zipi???Tafuta za Mkataba Kama hizi za kufanya kazi Sana hazipatiani.
Hapana kurudi kijijini ni kosa kubwa sana,mzee hapa mjini kuna connection zote na kazi zipo tena nyingi tu ila kusikia zipo wapi ndo kujuanaHatari
Mama ananiambia rudi kijijini mwanangu
Tusaidie ww basi mkuu.Sio sahihi mkuu.
Hahaha,kabisa aiseee.Watu wengi Wana uwezo wa kupata hizo basic needs..lakini wanaona umri unaenda bila kutimiza ndoto walizo jiwekea katika maisha yao.
Na kwenye kumpata mtu atakayekuonyesha wapi pana kazi ni utata mwingine huuHapana kurudi kijijini ni kosa kubwa sana,mzee hapa mjini kuna connection zote na kazi zipo tena nyingi tu ila kusikia zipo wapi ndo kujuana
Anzia you tube,gereji au workshop ukamalizie.We are in the world of technology, kila kitu kipo mtandaoni.Hadi engine models za animation ambazo chuoni ni hadithi utazipata.Natamani kujifunz machenics ila ndugu na jamaaa wananipa ahad zisizo timia kila siku
Mkuu sasa hivi kuna ushindani kila eneo.Kuna siku nimeenda kwa fundi kumpelekea simu abadilishe charge system.Hapo hapo kaanza kuzalisha matatizo mengine,Mara badili display.Nikagundua kazi hazipatikani au ameharibu soko lake mwenyewe sasa wateja ni wa manati.Unaweza kuta mleta maja yuko kwenye shughuli moja ya hizo ila still hajafika panapotakiwa.
Kama huna kazi jeSina hakika Kama mbinu hizi ni sahihi.Njia pekee nadhani ya kutoboa kwangu Mimi moja ni kufanya kazi kwa bidii kufikia lengo ulilojiwekea,pili kujifanyia tadhimini Kama umefikia malengo ndani ya muda na Kama hujafikia nini ilikuwa tatizo and how to improve going forward.ila kumuomba Mungu na kusubiria while you keep doing same thing everyday utasubiri sana
Haya mambo yapo waziHivi unajitangaza umefeli kimaisha kwa kigezo gani? Nini hasa kinakuhakikishia wewe umefeli kimaisha. Majibu yoyote hutoka mwisho wa tukio kwamba umefeli au umefaulu... sasa je wewe umefika mwisho na ikaamuliwa umefeli????? huyo mtoa majibu ni nani????
Maisha ni mapambano.... majibu hutoka ile siku unasikia watu wanaporomosha udongo juu yako huku wanalia!!!